Hatimaye Waraka umemtoa pangoni “mwenyewe”!

Hatimaye Waraka umemtoa pangoni “mwenyewe”!

Wajinga nyie mnawafanya watu wa Mungu wawe maskini mnajificha kwenye dini na siasa.

Nenda Saudi arabia au Irani uwambie watenganishe dini na serikali uone kama utamka ukiwa mzima.

Mafisadi nyie
Haya ni matatizo yako, yatatue.
 
nakaa na kufikiri sana, kwamba DP WORLD ndio wamekuja kuvuruga amani na mshikamano wa watanzania, kweli samia ameamua kusacrifice nchi kwa maslahi ya DP WORLD?
 
Kwa Waislamu Mtume Muhammad alipigana vita vingi 1.Badr, 2. Uhud,3. Khandak na Hunayn, je, alichanganya dini na siasa?
Alikuwa anapigania madaraka ya kisiasa?
Yesu alikemea maovu ya watawala hadharani mpaka akasulubiwa, alichanganya dini na siasa?
Ushasema alikemea maouvu, inamaana alifanya injili iliyogusa maslahi ya mwanasiasa.
Dini na siasa unazitenga vipi?
Unazitenga kwa viongozi wa dini kuachana na ya dunia na kuongoza kondoo katika nchi ya maziwa na asali.
 
Dini na siasa vinatengana sana tu. Ufalme wa mbinguni ni wa mbinguni na wa duniani ni wa duniani. Maslahi binafsi ndo huunganisha dini na siasa.
Ninakubaliana nawe.

Kinachosikitisha tu ni kwamba, tuna watu (wananchi) wanaamini akiwepo mtu mwenye dini yao huko juu ngazi ya uongozi, basi akifanya mambo yasiyokuwa mazuri, akisemwa inakuwa ni kwa sababu ya yeye kuwa wa dini yao.
Wanaacha kuangalia makosa yanayosemwa juu yake.

Hili ni tatizo kubwa sana linalotakiwa kutambuliwa na wananchi wote bila kujali dini zao.
 
Ninakubaliana nawe.

Kinachosikitisha tu ni kwamba, tuna watu (wananchi) wanaamini akiwepo mtu mwenye dini yao huko juu ngazi ya uongozi, basi akifanya mambo yasiyokuwa mazuri, akisemwa inakuwa ni kwa sababu ya yeye kuwa wa dini yao.
Wanaacha kuangalia makosa yanayosemwa juu yake.

Hili ni tatizo kubwa sana linalotakiwa kutambuliwa na wananchi wote bila kujali dini zao.
Yap. Kabisa mkuu. Na tuache kuwa wajinga wajinga kushindwa kuwajibishana.
 
Yeye ndo mdini mkubwa anafanya nini huko kusengenya wenzake..Asitupangie maisha na nini chakuongea.
Mkataba ni mbaya na tumeukata.full stop.
 
Yeye ndo mdini mkubwa anafanya nini huko kusengenya wenzake..Asitupangie maisha na nini chakuongea.
Mkataba ni mbaya na tumeukata.full stop.
Sisi tunaongelea Mkataba wao wanaongelea Udini. Nani mdini sasa hapo kama sio Kikwete?

Uzuri waislam wanawajua hawa mafisadi wanajitapa wanajua dini kumbe wanafiki tu.
 
Yaani kiongozi wa siasa, katumia jukwaa la dini kupinga siasa kwenye dini.......
 
Jana nilimsikiliza Kikwete akiongelea udini juu ya wale wanaopinga mkataba ovu wa DPW! Hii ni aibu kwake na kutojitambua! Hakuna kipindi nchi hii ilidharaulika kimataifa kwa umasikini uliokidhiri wa uporaji wa rasilimali za nchi kama kipindi cha Kikwete!

Aliwahi kihojiwa na kituo kimoja cha habari juu ya kwanini Tanzania ni masikini ili hali ina rasilimali nyingi kuliko nchi nyingi duniani? Angalia alivyojibu "hata mimi sijui!!!" Yaani mkuu wa nchi hajui kwanini wananchi wake ni masikini! Kipindi cha Kikwete hata CCM iliponea chupuchupu kuondolewa madarakani kama pasingekuwepo JPM!

Huyu Kikwete pamoja na kusomeshwa na taasisi za kikatoliki mpaka akawa Rais, lakini fikra za udini bado hazijamtoka! Suala la IGA ya DPW ni masharti maovu ya mkataba ndo watanganyika wanayakataa kupelekea taasisi na asasi za kiraia na kidini kupiga kelele kuondolewa na kufutwa kwa mkataba huo! Yeye Kikwete anasimama katika mimbari na kutishia watanganyika kuwa ni udini!

Ama kweli hii nchi imekosa hata wazee au mzee mmoja ambaye akisimama akaongea watanganyika tunaweza kusema "naaam!!". Namuomba Kikwete aende akapumzike na kucheza na wajukuu kijijini kwake Usoga, maana kama alipokuwa kijana akili zake zilikuwa hazimtoshi sasa na uzee huu anaongea nini? Hapa naongelea watanganyika kwasababu katika uporaji wa rasilimali za Tanzania, wazanzibari walijiondoa.

Kwahio hili suala kimkakati ilikuwa kumpata mzanzibari kumtumia kama Roboti ili auze mali za watanganyika (kwake hazimuhusu) kwasababu akivuruga Tanganyika yeye anarudi zake Zanzibar!
 
Wazanzibar walitaka nchi yao mkasema wakipewa waarabu watarudi zanzibar na itakua ya kiislam, So tumeona tuwaletee waarabu huko bara
 
Back
Top Bottom