Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,795
- 9,764
Kwani uko angani wanaume tunasmamisha?Huyo jamaa alikuwa na kazi gani?
Kumbuka hawakuwa na uhakika wa kurudi duniani
Kwani uko angani wanaume tunasmamisha?Huyo jamaa alikuwa na kazi gani?
Kumbuka hawakuwa na uhakika wa kurudi duniani
ShubamitKwani uko angani wanaume tunasmamisha?
Unaamanisha hawakuingia kwenye chombo cha international space ?
Huyo faza nikisoma nyuzi zake huwa nahisi km mwezi mchanga😁
Bila ya mawazo kama hayo huwezi kutambulika kama mtu mweusi na fikra kama hizo ndizo kielelezo halisi kinachothibitisha kwamba wale wataalam wa IQ waga hawakosei katika kutoa ratings zao.Wabongo tunachowaza ngono
Yaan tunasikitisha sana, ukisoma comments hakika ngozi nyeusi ni laana dunianiWabongo tunachowaza ngono
Haitokuja tokeaKaka acha tu, hawa jamaa wako beyond and above. Sijui lini tutakombolekw kifikra na kuacha kuabudu viongozi
Hii si hadithi ya kutengeneza,ni kweli.Unajua Proved,kwa kuwa watu hawasomi,bado wapo kwenye enzi za ujima.Ni hao hao ambao wameshindwa kabisa kuamini kuwa Volcanoes now are man made,joto kama hili tunalosumbuka nalo ni man made by the High Frequency Active Auroral Research Programme at Gakona Alaska,,floods are mad,hurricanes are man made etc...In general what we used to call natural disasters are not entirely natural anymore,they are also man made these days.Science has advanced in a way which a normal mind cannot comprehend.