Hatimaye vyuma Vyalegea

Hatimaye vyuma Vyalegea

izo fedha ziko kwa mafisadi wanao piga mkwanja hazipo kwetu huku wanyonge

kama tu mnasema mnaendeleo kuliko nchi za ulaya mtashindwa sema hela ziko nyingi mtaani

kama tu mnasema deni ni kubwa likitajwa kwa shilingi ila ni dogo likitajwa kwa dolla basi semeni pia mzunguko wa hela kwa dola ili uwe mdogo
mafisadi wepi?
 
Rais Samia ameongeza mzunguko wa fedha(M3) mara tatu, kutoka 5.7% mwaka 2020 sawa na TZS 30trilioni mpaka 14.6% sawa na TZS 54trilioni.
View attachment 3392320
Hii imesaidia kurudisha pesa mitaani na hivyo Kulegeza vyuma vilivyokaza wakati wa COVID 19.


Watanzania OCT Tunatik ✅
Hv hukuwahi soma hesabu nn?,kuna mzunguko Gani wa fedha kwenye fedha isiyo na thamani huoni kwamba huo ni mzunguko wa vichaa.
 
Kuwa tu mkweli hata kama Reforms zitafanyika hamuwezi kushinda nyie
Ww unasema tu na kubwabwaja tu ila ukweli unaujua vzr sana,kwamba CCM HAITAKIWA na wakiweka TUME HURU KABISA kinyume na hii ya MCHONGO iliyobadilishwa jina tu,nakuhakikishia uchaguzi ukianza saa kumi na mbili asubuhi kufikia saa nne asubuhi CCM haitawali tena nchi hii,najua ww ni chawa na hauna ushawishi wowote na hata nikikwambia uwaambie CCM wabadili Sheria za uchaguzi SAUTI yako inaishia chumbani mwako ulimolala.
 
Ww unasema tu na kubwabwaja tu ila ukweli unaujua vzr sana,kwamba CCM HAITAKIWA na wakiweka TUME HURU KABISA kinyume na hii ya MCHONGO iliyobadilishwa jina tu,nakuhakikishia uchaguzi ukianza saa kumi na mbili asubuhi kufikia saa nne asubuhi CCM haitawali tena nchi hii,najua ww ni chawa na hauna ushawishi wowote na hata nikikwambia uwaambie CCM wabadili Sheria za uchaguzi SAUTI yako inaishia chumbani mwako ulimolala.
Wapi CCM haitakuwi?
 
Naomba utaratibu na vituo vya mgao wa wa matrilioni mama ameongeza kwenye mzunguko. Distribution mechanism muhimu
 

Mambo 20 Chini ya Rais Samia​


  1. Diplomasia ya Uchumi – Amefungua Tanzania kwa dunia, kurejesha mahusiano mazuri ya kimataifa na kuvutia wawekezaji.
  2. Miradi ya Maji – Utekelezaji wa miradi mikubwa ya maji vijijini na mijini, kuhakikisha wananchi wanapata huduma safi na salama.
  3. Sekta ya Afya – Ujenzi na ukarabati wa hospitali, vituo vya afya na zahanati nchi nzima; kuongeza vifaa tiba na dawa.
  4. Sekta ya Elimu – Kuondoa ada kwa shule za sekondari hadi kidato cha sita na ujenzi wa shule mpya pamoja na mabweni.
  5. Barabara na Miundombinu – Ujenzi na ukarabati wa barabara kuu na za vijijini, madaraja na barabara za mchepuo mijini.
  6. Mradi wa Umeme Vijijini – Upanuzi mkubwa wa REA unaowafikia wananchi wengi zaidi vijijini.
  7. Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) – Kuendeleza mradi wa umeme wa megawati 2,115 kwa maendeleo ya taifa.
  8. Uboreshaji wa Shirika la Ndege (ATCL) – Kununua ndege mpya na kuongeza safari za kimataifa.
  9. Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) – Kuendeleza mradi wa reli ya umeme kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza.
  10. Uwekezaji katika Bandari – Kuboresha bandari za Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ili kuongeza biashara na mapato.
  11. Ajira kwa Vijana – Kupitia miradi ya kilimo (Building a Better Tomorrow – BBT) na sekta nyingine.
  12. Kilimo na Chakula – Kutoa ruzuku ya mbolea na pembejeo, kuanzisha Programu ya Kilimo cha Kibiashara.
  13. Mikopo ya Halmashauri 10% – Kuimarisha upatikanaji wa mikopo kwa vijana, wanawake na walemavu.
  14. Mapambano dhidi ya Ufisadi na Rushwa – Kuimarisha uwajibikaji na uwazi katika taasisi za umma.
  15. Sekta ya Madini – Kuboresha mikataba ya madini ili Tanzania inufaike zaidi.
  16. Michezo na Sanaa – Kuwezesha vijana kushiriki kimataifa na kuanzisha mfuko wa kuendeleza sanaa.
  17. Afya ya Mama na Mtoto – Kujenga vituo vya kisasa vya huduma ya dharura na kuongeza watoa huduma.
  18. Mfumo wa Kidigitali Serikalini – Kuongeza matumizi ya TEHAMA katika utoaji huduma.
  19. Utalii na Hifadhi za Taifa – Kutangaza Tanzania kimataifa kupitia filamu, promosheni na uwekezaji.
  20. Amani na Umoja wa Kitaifa – Kuimarisha mshikamano wa kijamii, kisiasa na kuendeleza majukwaa ya mazungumzo ya kitaifa.
 
Siku hizi hata pesa za kuokota hamna...watu hawadondoshi pesa atiii...!!!
 
Hapa kuna mambo matano mazuri ya Rais Samia Suluhu Hassan, yaliyoonekana wazi katika uongozi wake:


  1. Kuimarisha uchumi wa taifa – Rais Samia amesisitiza uwekezaji, maendeleo ya miundombinu, na uwekaji wa sera zinazosaidia biashara ndogo na kubwa, jambo lililoongeza ajira na pato la Taifa.
  2. Kuboresha huduma za afya – Chini ya uongozi wake, upatikanaji wa huduma za afya umeimarishwa, ikiwa ni pamoja na chanjo kwa watoto na upanuzi wa vituo vya afya vijijini.
  3. Elimu bila vikwazo – Rais Samia amesisitiza elimu bila ada kwa shule za msingi na sekondari, kuhakikisha watoto wote wanapata fursa ya elimu bora bila vikwazo vya kifedha.
  4. Miundombinu makini – Amelenga katika ujenzi wa barabara, reli ya SGR, na bandari mpya kama Bandari ya Bagamoyo, ili kurahisisha usafirishaji na biashara ndani na nje ya nchi.
  5. Kutoa fursa kwa vijana na wanawake – Amekuwa mstari wa mbele katika kuunda ajira, kukuza uwekezaji, na kuhamasisha ushiriki wa wanawake na vijana katika biashara na sekta za kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom