Hata watoto wa darasa la nne watakuwa wanasema uko CCM kumejaa mambumbumbu yakutupa.
Kama 5.7% ni tsh 30 trillion
14.6% itakuwa tsh 54 trillion kweli? No.
14.6% ingekuwa tsh 76.8 trillion, hesabu za primary (cross multiplication).
Na hizo ni flyers ambazo mnasambaza nchi wakati hesabu za primary tu shida.
Sasa ndio utaweza elezea kuna hesabu gani za economics za kijinga hivyo. Not sure unajua tofauti ya velocity of money, GDP, PPP or any other circulation of money theory.
Hakuna hesabu za ujinga huo kwenye economics, ni ujinga tu mnatoa vichwani.
Lakini huko CCM kuna watu wa hovyo, na huyo Makalla mkurugenzi wa habari supposedly ni accountant, hakuna hayo mashudu ya kwenye hesabu tu,