Hatimaye vyuma Vyalegea

Hatimaye vyuma Vyalegea

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
3,579
Reaction score
2,906
==
Rais Samia ameongeza mzunguko wa fedha(M3) mara tatu, kutoka 5.7% mwaka 2020 sawa na TZS 30trilioni mpaka 14.6% sawa na TZS 54trilioni.
IMG-20250703-WA0021(1).jpg

Hii imesaidia kurudisha pesa mitaani na hivyo Kulegeza vyuma vilivyokaza wakati wa COVID 19.


Watanzania OCT Tunatik ✅
 
==
Rais Samia ameongeza mzunguko wa fedha(M3) mara tatu, kutoka 5.7% mwaka 2020 sawa na TZS 30trilioni mpaka 14.6% sawa na TZS 54trilioni.
View attachment 3392320
Hii imesaidia kurudisha pesa mitaani na hivyo Kulegeza vyuma vilivyokaza wakati wa COVID 19.


Watanzania OCT Tunatik ✅
Si tulikubaliana shillingi inatudanganya, tutajie kwa dolar tuone uhalsia
 
izo fedha ziko kwa mafisadi wanao piga mkwanja hazipo kwetu huku wanyonge

kama tu mnasema mnaendeleo kuliko nchi za ulaya mtashindwa sema hela ziko nyingi mtaani

kama tu mnasema deni ni kubwa likitajwa kwa shilingi ila ni dogo likitajwa kwa dolla basi semeni pia mzunguko wa hela kwa dola ili uwe mdogo
 
Rais Samia ameongeza mzunguko wa fedha(M3) mara tatu, kutoka 5.7% mwaka 2020 sawa na TZS 30trilioni mpaka 14.6% sawa na TZS 54trilioni.
View attachment 3392320
Hii imesaidia kurudisha pesa mitaani na hivyo Kulegeza vyuma vilivyokaza wakati wa COVID 19.


Watanzania OCT Tunatik ✅

Kwanza sema UNATICK sio TUNATICK,

Pili, how come unaweza kushawishiwa na maneno ya kwenye makaratasi tu?

Piga simu kijijini kwenu then muulize yule mtoto wa mjomba wako bodaboda je kwa siku anapata laki moja na zaidi kwenye biashara yake?
 
Rais Samia ameongeza mzunguko wa fedha(M3) mara tatu, kutoka 5.7% mwaka 2020 sawa na TZS 30trilioni mpaka 14.6% sawa na TZS 54trilioni.
View attachment 3392320
Hii imesaidia kurudisha pesa mitaani na hivyo Kulegeza vyuma vilivyokaza wakati wa COVID 19.


Watanzania OCT Tunatik ✅

We umekamata ngapi kiongozi baada ya mlegezo huo? Kenge wengine bado tunabet tu hapa kwa muhindi na bado si ndege si mnyama kwetu!

Labda kalegezea kwa wagombewa ili wajumbe washibe, tutapataga kombo badayee!
 
We umekamata ngapi kiongozi baada ya mlegezo huo? Kenge wengine bado tunabet tu hapa kwa muhindi na bado si ndege si mnyama kwetu!

Labda kalegezea kwa wagombewa ili wajumbe washibe, tutapataga kombo badayee!
Hatà kubet ni kazi nzuri
 
Back
Top Bottom