Mkuu kwa sababu hii hapa
Ndiyo CCM yako inavyofanya
Subject: Fw: kazi nzuri
Date: Sunday, November 17, 2013 20:28
From: " utani ujinga " <ujingaemail@gmail.com> >
To: uwongo email <
udakuemail@yahoo.com >
On Sunday, November 17, 2013 6:15:44 PM, wajinga waliwao <copypaste@gmail.com> wrote:
sawa boss,,jumatano saa moja imekaa safi kabisa. tuchape kazi. ntakupa update nikitoka kuonana na mbw mh. Aals namtafuta punde
Fake email
2013/11/17 uongo ujinga<
ujinga@yahoo.com >
bila shaka vijana wamefanya kazi nzuri sana. mapambano yanaendelea, hakuna kulala, hapa sasa tume lote livunjwe na huyo waryoba apumzishwe. mtafute mh. Aals ana mazuri ya kuongea na wewe. kuna mapya pale ufipa, nimeshaongea na mh. Mkweli na amenipa brifieing .. tukutane jumatano basi jioni ya saa1 pale pale cheer,, aals
Sent from my ipad
On Sunday, November 17, 2013 5:55:02 PM, emailcopy <ujinga@gmail.com> wrote:
Naona vijana wametekeleza shuguli vizuri, na cham imewakilishwa vizuri sana. Msangi jembe, sasa tutaipata katiba tunayoitaka hicho kikwazo kikishaondolewa bila shuruti. Alafu upande wa pili (cdm) inabidi tuongeze dau ili shujaa ukweli abakie ndani, nasikia kuna mkakati wa kumtoa kwenye kinyang'anyiro. tujitahidi sana sana kumsaidia kujenga mtandao wa ndani apate u wenyekiti. taarifa zaidi za ndani zinasema wkamba wanajaribu kumfukuza kabla ya mwisho wa mwaka, tuendeleze vita hilo lisitokee, naona kundi ndani ya bavicha hasa hiyo mitoto inafanya sana mashambulizi lakini hawataweza. inabidi wadhibitiwe. rockup wiki mbili itawasambaratisha. Tuongeze kasi kwa wajumbe wa kamati kuu. wengi wao ni njaa sana nazani 5mil kila moja inatosha kabisa.wananifata sana kuomba hela ili wasaidie nakutana na ZZK baadae plae pa siku ile, unaweza kufika saa 1 jioni
Fake
Endeleeni ila mtaula wa chuya
Hii ndio email ndio ushahidi wenu mnafanya watu wehu wajinga . Tajeni sababu sio kuleta email za uongo hapa sasa na hio ni ya kweli japo juu