Hatimaye Simon Jengo Atolewa Jela

Hatimaye Simon Jengo Atolewa Jela

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,262
Reaction score
166,385
Ndugu zangu Simon Jengo ambaye ni Mzee wa Kanisa Azani Front Cathedral,pili ni mwalimu wa kwaya kuu Azania Front, tatu yuko kwenye kamati ya maandalizi mikutano ya kiroho ya mwalimu Christopher Mwakasege, ametolewa jela ambako alikuwa amewekwa mahabusu kwa sababu ambazo hazikuelezwa.
 
Mbona nasikia huyu bwana ni fisadi wa kutupwa?
Ila nasikia alikamatwa kama jasusi, alivamiwa nyumbani kwake Kiluvya usiku wa manane na kikosi maalum cha makomandoo.
Na alipokamatwa alipelekwa lkulu ambako alihojiwa moja kwa moja na rais kisha akatupwa gerezani ambako watu walikuwa hawaruhusiwi kumtembelea wala kumjulia hali.
 
Mbona nasikia huyu bwana ni fisadi wa kutupwa?
Ila nasikia alikamatwa kama jasusi, alivamiwa nyumbani kwake Kiluvya usiku wa manane na kikosi maalum cha makomandoo.
Na alipokamatwa alipelekwa lkulu ambako alihojiwa moja kwa moja na rais kisha akatupwa gerezani ambako watu walikuwa hawaruhusiwi kumtembelea wala kumjulia hali.

Akha.....hapa JK anasingiziwa...anaweza kufanya hili kweli?....bado nakumbuka hotba yake bungeni mwaka juzi.....kuwa watu hawa wana nguvu sana na yeye hawezi mtupa mtu jela kwa kuogopa kesinya fidia kama ilivyotokea kwa Mkapa na wakina Edwin Mann et al
 
Story bado haijakaa sawa...what exactly happened?
 
Huyu si ni yule fisadi ambaye kuna wakati alikamatwa kwa kosa la kuprint hela kwa gharama ya juu kuliko gharama halisi za uchapishaji?
Alikuwa BOT sijui siku hizi yuko wapi

I see duhh sasa ndo tumweke kwenye uceleb.?
 
Ndugu zangu Simon Jengo ambaye ni Mzee wa Kanisa Azani Front Cathedral,pili ni mwalimu wa kwaya kuu Azania Front, tatu yuko kwenye kamati ya maandalizi mikutano ya kiroho ya mwalimu Christopher Mwakasege, ametolewa jela ambako alikuwa amewekwa mahabusu kwa sababu ambazo hazikuelezwa.

Bwana Asifiwe:

"...ametolewa jela..... alikuwa amewekwa mahabusu..." : Hii sentensi haileweki - tungo tata!

"...Mzee wa Kanisa Azania Front..... Yupo kwenye kamati ya maadalizi ya... Mwakasege" : Hii ndiyo sababu ya kumpeleka mahabusu: huwezi kutumikia mabwana wawili!

Umesahau pia:

Ni FISADI -
 
Duh kumbe ni kweli wazee wa makanisa wengi na wanaojidai waumini sana hasa pale Azania feon wengi ni mafisadi wa kuoga
 
Sasa itabidi tuje na orodha kamili ya mafisadi wanaoficha madhambi yao pale azania front cathedral.
  • fredrick sumaye
  • anna mkapa
  • edward lowassa
  • simon jengo
  • gerald hongoli
  • gilbert sanga
  • jerry mgwamba na orodha inaendelea
 
Back
Top Bottom