Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Kaka mimi sijui kinachoendelea.Hivi hata wewe umesahau hili sakata la snow crest?
Bavicha mnalishwa nini nowadays?
Vipi WAMA yenu ma mama JK imekufa nayo?
Kaka mimi sijui kinachoendelea.Hivi hata wewe umesahau hili sakata la snow crest?
Bavicha mnalishwa nini nowadays?
Hii hoteli ina matatizo siku nyingi sana.Mmiliki atakuwa Ukawa ndio maana.Mbona za makada wao zipo katikati ya hifadhi?
Double standard.
Ipo jijini Arusha.
Kwa wanaokumbuka hoteli hii ilitakiwa kuvunjwa few weeks baada ya kuzinduliwa na JK...kipindi hilo JPM alikuwa ni waziri wa Ujenzi.
Na mhusika wa kutaka kuivunja kipindi kile nadhani alihamishiwa mkoa mwingine
Uko Arusha kabla ya kufika Ngulelo.Nafikiri ipo arusha sanawari karibu kabisa na kona ya kushuka kuelekea jengo la mikutano la aicc au mount meru hospital
Weka picha mkuu
KIBARAone na chipolopolo 2 picha za hotel hizi hapaJingalao tunaomba utuwekee picha
Mmliki ni Tarimo jamaa ni mjanja kuliko ujanja wenyewe ulivyo.....Nani anajua ile kesi yake ya madai na Ndika iliishia wapi?Mmiliki atakuwa Ukawa ndio maana.Mbona za makada wao zipo katikati ya hifadhi?
Double standard.
Hapo kwenye blue nakazia tu... NI MBAYA SANA KUTEGEMEA WANASIASA KATIKA BIASHARA...Deusdedith Kakoko ndie alikua meneja Tanroads Arusha. Nadhani hadi leo. Aliwazuia kujenga ukuta eneo la barabara wao wakajenga. JK alipoizindua tu, kesho yake alfajiri saa 10 Deo akavamia hapo na magreda yake. Baada ya hapo aliwaruhusu fensi fupi ya maua tu. Deo wala hakuhamishwa!!
Snow Crest haina miaka 10 mkuu. Nadhani ni ya 2008 hivi. Kinachobomolewa kwa sasa ni hiyo fensi ya maua na sehemu inayoingia barabarani. Niko mbali ningewaletea picha.
Kwanza nadhani inakaribia kufungwa (kama haijafungwa) maana madeni mengi, biashara haipati na sasa wanaenda kuivuruga show yake ya mbele. Mbaya sana kutegemea wanasiasa katika biashara.
Mkuu ni Tarimo yupi?? Yule wa Njiro PPF auMmliki ni Tarimo jamaa ni mjanja kuliko ujanja wenyewe ulivyo.....Nani anajua ile kesi yake ya madai na Ndika iliishia wapi?
Jamaa anafaa kuwa role model kwa mtu yeyote anaetaka kuwa fogo.
Duuuh humu jf wamejaa watu wa tiss na magenious![]()
Uki check out unatakiwa kuwa makini sana na mabegi yako unaweza kugongwa na magari mainroad hakutakuwa na parking wala sehemu ya bustani.
...nop,iko mbele kidogo ya ngulelo.Nafikiri ipo arusha sanawari karibu kabisa na kona ya kushuka kuelekea jengo la mikutano la aicc au mount meru hospital