Duh hakuna tena biashara hapoHivi hata wewe umesahau hili sakata la snow crest?
Bavicha mnalishwa nini nowadays?
Hehe na hivi saivi ndo kashika remote atavunja km hana akili nzurije pale Ubungo makao makuu ya TANESCO nayo ikoje kuna kipindi alitaka kuvunja hapo zamani
Nimewaza sijapata jibu badoSijui wataigeuza hii hotel kuwa kitu gani..
Ipo jijini Arusha.
Kwa wanaokumbuka hoteli hii ilitakiwa kuvunjwa few weeks baada ya kuzinduliwa na JK...kipindi hilo JPM alikuwa ni waziri wa Ujenzi.
Na mhusika wa kutaka kuivunja kipindi kile nadhani alihamishiwa mkoa mwingine