Hatimaye Russia atia timu Ukraine

Hatimaye Russia atia timu Ukraine

Hahahahaha! Ndo maana tunaitwa waulimwengu wa tatu, jamani wao jamaa walishatugawana afu na sisi tunashangilia! Yaani Russia anapotandika wale former USSR wenzake US haingilii zaidi ya kukoromakoroma kuzuga ulimwengu kutimiza role yake ya ukiranja mkuu, pia US akiwa anatandika waarabu Russia haingilii bali hufumba macho kabisaa kama haoni, tofauti yao yeye russia hukaa kimya make hana jukumu lolote kubwa la ulimwengu na hawezi kulaumiwa kwa lolote
 
Hahahahaha! Ndo maana tunaitwa waulimwengu wa tatu, jamani wao jamaa walishatugawana afu na sisi tunashangilia! Yaani Russia anapotandika wale former USSR wenzake US haingilii zaidi ya kukoromakoroma kuzuga ulimwengu kutimiza role yake ya ukiranja mkuu, pia US akiwa anatandika waarabu Russia haingilii bali hufumba macho kabisaa kama haoni, tofauti yao yeye russia hukaa kimya make hana jukumu lolote kubwa la ulimwengu na hawezi kulaumiwa kwa lolote

Sasa mkuu point yako nini? sielewi unataka kutuambia nini?
 
Kaingia kwa style ile ile ambayo Marekani na washirika wake huitumia kuvamia nchi kama Iraq, Libya, Afghanistan etc.

Anaenda kutoa misaada ya kibinaadamu.

Magari makubwa 300 yakiwa na shehena za mahitaji ya binadamu yamevuka mpaka na kuingia Eastern ukraine.

Hii itasaidia sana kuleta amani eneo hilo. kwani Russia ana uzoefu wa game linalochezwa huko.

Hongera Putin kwa kujali watu wanaopata shida ya vita.

hizi ndizo akili typical za watu wa ulimwengu wa tatu
kushabikia mambo ambayo kwao hayana faida wala maana yoyote
Urusi kumvimbia marekani wewe unafaidika na nini au Urusi kuivamia ukraine wewe unafaidika na nini
Unatakiwa uelewe hao wote ni wazungu na interest zao ni moja na hazina msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa.
ushabiki wa vita hauna maana yoyote
 
hizi ndizo akili typical za watu wa ulimwengu wa tatu
kushabikia mambo ambayo kwao hayana faida wala maana yoyote
Urusi kumvimbia marekani wewe unafaidika na nini au Urusi kuivamia ukraine wewe unafaidika na nini
Unatakiwa uelewe hao wote ni wazungu na interest zao ni moja na hazina msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa.
ushabiki wa vita hauna maana yoyote

Mkuu, kujua siasa za nje ni nzuri sana. Ndo maana hata marais wetu hapa bongo hufanyakazi wizara ya mambo ya nje ili wajifunze kitu kabla hawajapewa wadhifa huo. Husipoelewa unaburuzwa tu.
Husiogope mkuu. Lazima tujue hao watu(Wazungu) conflict zao ili na sisi tujue tunajipanga vipi. Dunia sasa hivi ni kama kijiji. Nasisitiza ni lazima tuwe aware na mambo yanayotokea pande mbalimbali za dunia mkuu.
 
Mkuu, kujua siasa za nje ni nzuri sana. Ndo maana hata marais wetu hapa bongo hufanyakazi wizara ya mambo ya nje ili wajifunze kitu kabla hawajapewa wadhifa huo. Husipoelewa unaburuzwa tu.
Husiogope mkuu. Lazima tujue hao watu(Wazungu) conflict zao ili na sisi tujue tunajipanga vipi. Dunia sasa hivi ni kama kijiji. Nasisitiza ni lazima tuwe aware na mambo yanayotokea pande mbalimbali za dunia mkuu.

upo sahihi lakini wasiwasi wangu ni jinsi watu wanavyoishabikia Russia kwa kusupport separists ukraine kama njia ya kuonyesha kwamba russia ana mzidi nguvu mmarekani wakati kiuhalisia anayeumia siyo US bali ni raia wa ukraine
 
hizi ndizo akili typical za watu wa ulimwengu wa tatu
kushabikia mambo ambayo kwao hayana faida wala maana yoyote
Urusi kumvimbia marekani wewe unafaidika na nini au Urusi kuivamia ukraine wewe unafaidika na nini
Unatakiwa uelewe hao wote ni wazungu na interest zao ni moja na hazina msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa.
ushabiki wa vita hauna maana yoyote

mkuu kwani wew unavyoshabikia timu yeyote hile huwa unafaidika na nin?pia tambua utofauti wa mawazo ndio unaokuza hii mitandao,
 
mpaka jna usiku bado malori yalikua yamezuiliwa mpakan na majesh ya ukrain,na wazir wa ulinzi anasema hayatoingia mpka wayakague.So kama kuna silaha kitajulikana tu...
 
Russia wana roho mbaya sana hawa watu.
Bado yanaishi kwenye enzi za ujima utafikiri sio mazungu
na rais wao mbumbumbu,sijapata ona russia akifanikiwa mission hata moja anayoianzisha baada ya vita kuu ya dunia
Russia hawez kurudia makali ya zamani,itakuwa n rahis kwa dola ya rumi kurudi na sio haya mazungu hovyo kina putin
 
Russia wana roho mbaya sana hawa watu.
Bado yanaishi kwenye enzi za ujima utafikiri sio mazungu
na rais wao mbumbumbu,sijapata ona russia akifanikiwa mission hata moja anayoianzisha baada ya vita kuu ya dunia
Russia hawez kurudia makali ya zamani,itakuwa n rahis kwa dola ya rumi kurudi na sio haya mazungu hovyo kina putin

mbona unamshambulia Urusi bila kuweka hata Fact.
 
ukrain imesema itayashambulia ayo malori kama yataingia kwa nguvu..
 
Jemedari Putin,,, nataman sana hawa wanahizaya wapigwe tu maana wametuletea ma balaa ya kila aina huku Africa yetu


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Mataifa ya ulaya yanatia aibu sana. Yamekuwa kama mbwa mbele ya chatu. Hayana ujanja mbele ya marekani. Endapo kila nchi ingekuwa na maamuzi binafsi basi hii ishu ya Putin isingekuwa hot kiasi hiki. Uingereza taifa kubwa ila katika hili heshima yake imedrop to zero
 
Mataifa ya ulaya yanatia aibu sana. Yamekuwa kama mbwa mbele ya chatu. Hayana ujanja mbele ya marekani. Endapo kila nchi ingekuwa na maamuzi binafsi basi hii ishu ya Putin isingekuwa hot kiasi hiki. Uingereza taifa kubwa ila katika hili heshima yake imedrop to zero

Heshima ya Taifa lako imeongezeka kwenye huu mgogoro? Nauliza tu usinitoe macho!
 
Heshima ya Taifa lako imeongezeka kwenye huu mgogoro? Nauliza tu usinitoe macho!

Sijahusianisha na nchi yangu hata kidogo. Tz ina matatizo mengi ila hilo halinizuii kuitazama dunia kwa mawanda yake. Endapo itatokea vita baina ya hawa wababe wa ulimwengu basi athari yake itatukuta sisi sote
 
hizi ndizo akili typical za watu wa ulimwengu wa tatu
kushabikia mambo ambayo kwao hayana faida wala maana yoyote
Urusi kumvimbia marekani wewe unafaidika na nini au Urusi kuivamia ukraine wewe unafaidika na nini
Unatakiwa uelewe hao wote ni wazungu na interest zao ni moja na hazina msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa.
ushabiki wa vita hauna maana yoyote

hujielewi wewe nadhani wewe upo dunia ya kumi upo gizani
 
Back
Top Bottom