Hatimaye Russia atia timu Ukraine

Hatimaye Russia atia timu Ukraine

Mimi nashangaa uwezo wa wachangiaji wengine humu ndani, hivi ukisoma taarifa yeyote huwezi kujishughurisha kufanya upekuzi ujue undani wa jambo ndio uchangie? Hii ndio forum ya watu waelewa kweli: Wanaopinga msimamo wa Rusia juu ya majimbo ya kusini mashariki mwa rusia hajui historia na sera za nchi mbambali duniani zinazohusiana na Mali za taifa. Rusia ina mali zake Ukrain, ambapo ni raia wenye asili ya Rusia walioishi maeneo ya Ukrain kabla na baada ya USSR kuvunjika..ukitaka kujua vyema google ramani ya enero la kiutawala la USSR kabla na baada ya kuvunjika. maeneo ya kusini mashariki mwa Ukrain wapo warusi (Pro-Rusian) ambapo Rusia kwa sera zake hao ni Rusia National Interest, hakuna atakayepinga Rusia kulinda kilicho chake popote pale Duniani, hizo ni sera za mataifa mbalimbali, marekani analijua hili na ndiyo maana kwa ujumla katika kuujadili mgogoro wa Ukrain Rusia ni muhimu sana kwani sehemu kubwa ya nchi hiyo inakaliwa na pro-rusian. Rusia katika mgogoro wa Ukrain wapo sahihi kabisa, kushutumu na kutokuunga mkono namna uongozi uliochaguliwa kwa demokrasia ulivyoondolewa madarakani na kuwapa vibaraka wa Marekani, pili hawawezi kukaa kimya na hali wana wananchi wao sehemu ya ukrain,. Utetezi wa Rusia kwa watu wa kusini mashariki ya Ukrain hauna tofauti na msimamo wa Marekani kutetea raia wake mahali popote duniani. swali la msingi Je, Tanzania inatekeleza vipi talatibu za kutetea na kulinda raia wake? katika misingi ya sera za mambo ya nje na utekelezaji wake.
 
Hahahahaha! Ndo
maana tunaitwa waulimwengu wa tatu, jamani wao jamaa walishatugawana afu
na sisi tunashangilia! Yaani Russia anapotandika wale former USSR
wenzake US haingilii zaidi ya kukoromakoroma kuzuga ulimwengu kutimiza
role yake ya ukiranja mkuu, pia US akiwa anatandika waarabu Russia
haingilii bali hufumba macho kabisaa kama haoni, tofauti yao yeye russia
hukaa kimya make hana jukumu lolote kubwa la ulimwengu na hawezi
kulaumiwa kwa lolote

mbona hueleweki uko upande gani unakua kama mwanamke malaya bwana.
 
hizi ndizo akili typical za watu wa ulimwengu wa tatu
kushabikia mambo ambayo kwao hayana faida wala maana yoyote
Urusi kumvimbia marekani wewe unafaidika na nini au Urusi kuivamia ukraine wewe unafaidika na nini
Unatakiwa uelewe hao wote ni wazungu na interest zao ni moja na hazina msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa.
ushabiki wa vita hauna maana yoyote

hujielewi wewe rudi kitandani uendelee kuota
 
mbona hueleweki uko upande gani unakua kama mwanamke malaya bwana.

Jamaa hana point, na akichangia analeta mambo ya kuwakashifu wachangiaji. Atakuwa na matatizo ya kiakili huyu. @Patrick Elias
 
Umesema vyema mkuu. Nimesikiliza BBC,ALJAZEERA naCNN,Marekani wenyewe wamesema wanawapiga Iss pale iraq ili kulinda raia wanaouawa lakini zaidi kulinda mali na maslahi ya Marekani. Sasa kwa nini Russia asilinde maslahi yake pale Ukrain?
Mimi nashangaa uwezo wa wachangiaji wengine humu ndani, hivi ukisoma taarifa yeyote huwezi kujishughurisha kufanya upekuzi ujue undani wa jambo ndio uchangie? Hii ndio forum ya watu waelewa kweli: Wanaopinga msimamo wa Rusia juu ya majimbo ya kusini mashariki mwa rusia hajui historia na sera za nchi mbambali duniani zinazohusiana na Mali za taifa. Rusia ina mali zake Ukrain, ambapo ni raia wenye asili ya Rusia walioishi maeneo ya Ukrain kabla na baada ya USSR kuvunjika..ukitaka kujua vyema google ramani ya enero la kiutawala la USSR kabla na baada ya kuvunjika. maeneo ya kusini mashariki mwa Ukrain wapo warusi (Pro-Rusian) ambapo Rusia kwa sera zake hao ni Rusia National Interest, hakuna atakayepinga Rusia kulinda kilicho chake popote pale Duniani, hizo ni sera za mataifa mbalimbali, marekani analijua hili na ndiyo maana kwa ujumla katika kuujadili mgogoro wa Ukrain Rusia ni muhimu sana kwani sehemu kubwa ya nchi hiyo inakaliwa na pro-rusian. Rusia katika mgogoro wa Ukrain wapo sahihi kabisa, kushutumu na kutokuunga mkono namna uongozi uliochaguliwa kwa demokrasia ulivyoondolewa madarakani na kuwapa vibaraka wa Marekani, pili hawawezi kukaa kimya na hali wana wananchi wao sehemu ya ukrain,. Utetezi wa Rusia kwa watu wa kusini mashariki ya Ukrain hauna tofauti na msimamo wa Marekani kutetea raia wake mahali popote duniani. swali la msingi Je, Tanzania inatekeleza vipi talatibu za kutetea na kulinda raia wake? katika misingi ya sera za mambo ya nje na utekelezaji wake.
 
hizi ndizo akili typical za watu wa ulimwengu wa tatu
kushabikia mambo ambayo kwao hayana faida wala maana yoyote
Urusi kumvimbia marekani wewe unafaidika na nini au Urusi kuivamia ukraine wewe unafaidika na nini
Unatakiwa uelewe hao wote ni wazungu na interest zao ni moja na hazina msaada wowote kwa maendeleo ya Taifa.
ushabiki wa vita hauna maana yoyote

Ungeanza wewe kutueleza kumshabikia escober muuza madawa mkuu wa Colombia maana yake nini na unafaidika na nini?
 
Mimi nashangaa uwezo wa wachangiaji wengine humu ndani, hivi ukisoma taarifa yeyote huwezi kujishughurisha kufanya upekuzi ujue undani wa jambo ndio uchangie? Hii ndio forum ya watu waelewa kweli: Wanaopinga msimamo wa Rusia juu ya majimbo ya kusini mashariki mwa rusia hajui historia na sera za nchi mbambali duniani zinazohusiana na Mali za taifa. Rusia ina mali zake Ukrain, ambapo ni raia wenye asili ya Rusia walioishi maeneo ya Ukrain kabla na baada ya USSR kuvunjika..ukitaka kujua vyema google ramani ya enero la kiutawala la USSR kabla na baada ya kuvunjika. maeneo ya kusini mashariki mwa Ukrain wapo warusi (Pro-Rusian) ambapo Rusia kwa sera zake hao ni Rusia National Interest, hakuna atakayepinga Rusia kulinda kilicho chake popote pale Duniani, hizo ni sera za mataifa mbalimbali, marekani analijua hili na ndiyo maana kwa ujumla katika kuujadili mgogoro wa Ukrain Rusia ni muhimu sana kwani sehemu kubwa ya nchi hiyo inakaliwa na pro-rusian. Rusia katika mgogoro wa Ukrain wapo sahihi kabisa, kushutumu na kutokuunga mkono namna uongozi uliochaguliwa kwa demokrasia ulivyoondolewa madarakani na kuwapa vibaraka wa Marekani, pili hawawezi kukaa kimya na hali wana wananchi wao sehemu ya ukrain,. Utetezi wa Rusia kwa watu wa kusini mashariki ya Ukrain hauna tofauti na msimamo wa Marekani kutetea raia wake mahali popote duniani. swali la msingi Je, Tanzania inatekeleza vipi talatibu za kutetea na kulinda raia wake? katika misingi ya sera za mambo ya nje na utekelezaji wake.

MKUU ni kweli watu dunia ya leo hawatazami utu bali maslahi kwanza.umenena vyema.
nikirudi upande wa Tanzania haina uwezo wa kulinda maslahi yao ya nje kwasababu ya ndani tu yametushinda.
 
Mzigo wa kwanza umeenda. Mzigo wa pili unaondoka leo Moscow kwenda donesk.
US na EU kimyaaaa kama kawaida yao. Ukraine anaonekana kama kaachwa uchi. Wapambe wake kimya.
 
Back
Top Bottom