Hatimaye Russia atia timu Ukraine

Hatimaye Russia atia timu Ukraine

JustDoItNow

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,967
Reaction score
1,513
Kaingia kwa style ile ile ambayo Marekani na washirika wake huitumia kuvamia nchi kama Iraq, Libya, Afghanistan etc.

Anaenda kutoa misaada ya kibinaadamu.

Magari makubwa 300 yakiwa na shehena za mahitaji ya binadamu yamevuka mpaka na kuingia Eastern ukraine.

Hii itasaidia sana kuleta amani eneo hilo. kwani Russia ana uzoefu wa game linalochezwa huko.

Hongera Putin kwa kujali watu wanaopata shida ya vita.
 
Mbona hata hayajafika boarder.habari itanoga usiku wa leo yakifika mpakani.
628x471.jpg
 
Ni misaada ya kibinadamu tu, serikali ya Ukraine inasema yataishia mipakani tu, halafu wanajeshi wa Russia hawaruhusiwi kuingia ndio maana itapakuliwa mpakani tu...
 
Kaingia kwa style ile ile ambayo Marekani na washirika wake huitumia kuvamia nchi kama Iraq, Libya, Afghanistan etc.

Anaenda kutoa misaada ya kibinaadamu.

Magari makubwa 300 yakiwa na shehena za mahitaji ya binadamu yamevuka mpaka na kuingia Eastern ukraine.

Hii itasaidia sana kuleta amani eneo hilo. kwani Russia ana uzoefu wa game linalochezwa huko.

Hongera Putin kwa kujali watu wanaopata shida ya vita.
una uhakika? BBC News - Russian humanitarian aid convoy 'pushes south to Ukraine'
 
Nilisoma yahoo comment moja ya utani nikacheka sana...wanasema Obama atamweza wapi mpigana judo...anamuomba waongee kuhusu Ukraine anajibiwa amsubiri yuko gym...

Ha ha ha! Chezea Putin wewe! Kaka mkubwa kapata kaka mkubwa mwenzie.
 
Something awkward is about to happen. Vita huwa zinaanza kwa utaratibu kama huu
 
Nilisoma yahoo comment moja ya utani nikacheka sana...wanasema Obama atamweza wapi mpigana judo...anamuomba waongee kuhusu Ukraine anajibiwa amsubiri yuko gym...

Ha ha ha ha! ki ukweli Putin siyo size yake. Ebu cheki wakati russia wamefanya full scale ground invasion kule Georgia, Putin yeye alikuwa waziri mkuu. Wakati huo Bush mtoto ni rais wa USA. Walikutania china. Bush alikuwa anajimwaya mwaya tu na kumwambia putin wasamehe hawa mtawamaliza.....
Putin akiwa waziri mkuu alimwambia naomba husipeleke pua yako pale......
 
Ni misaada ya kibinadamu tu, serikali ya Ukraine inasema yataishia mipakani tu, halafu wanajeshi wa Russia hawaruhusiwi kuingia ndio maana itapakuliwa mpakani tu...

Putin is very clever....(kawategeshea maana askari wao(Ukraine) wana njaa kama nini). Ole wao wasifikishe misaada hiyo kwa walengwa...watakiona cha moto...!!!
 
Ha ha ha! Chezea Putin wewe! Kaka mkubwa kapata kaka mkubwa mwenzie.

Wewe una chuki zako na Marekani lakini hujui usemalo.waambie hao warusi wakasidie kuondoa bokoharamu au alishababu uone.hawa wanaka kuchukua ardhi za watu.hakuna hata chembe ya msaada
 
Msaada gani wa kibinadamu unatokea baraks?kwa nini magari yasiende kwa ahewamu?
Mzigo wa trela 300 utahifadhiwa wapi?Vurugu mtupu!
 
Something awkward is about to happen. Vita huwa zinaanza kwa utaratibu kama huu

HASA HATARI KAMA HII....INAPOONEKANA KAMA JAMBO LA KAWAIDA KWA US na EU


The management of the city's chemical plant called on the Ukrainian armed forces to stop the bombardment of the plant. The plant contains stores of highly toxic products, which could contaminate a region with a radius of 300 kilometers, affecting Russia as well as Ukraine.

Russia's attempt to deliver relief supplies to the region is now being used for further provocations. Any blockade of the deliveries, and/or attack on the convoy by Ukrainian forces, would lead to a rapid escalation of tensions and the possible outbreak of a war that could rapidly draw in the US and Western Europe.

Kiev Pledges to Block Russian Aid Convoy to Eastern Ukraine | Global Research
 
Mboona hii ni hila wazi ya mrudi akisingizia hatari ya makemikali.yeye ansababisha purukushani zote hizi kuleta hali kisieleweke


UOTE=TUJITEGEMEE;10317900]HASA HATARI KAMA HII....INAPOONEKANA KAMA JAMBO LA KAWAIDA KWA US na EU


The management of the city’s chemical plant called on the Ukrainian armed forces to stop the bombardment of the plant. The plant contains stores of highly toxic products, which could contaminate a region with a radius of 300 kilometers, affecting Russia as well as Ukraine.

Russia’s attempt to deliver relief supplies to the region is now being used for further provocations. Any blockade of the deliveries, and/or attack on the convoy by Ukrainian forces, would lead to a rapid escalation of tensions and the possible outbreak of a war that could rapidly draw in the US and Western Europe.

Kiev Pledges to Block Russian Aid Convoy to Eastern Ukraine | Global Research[/QUOTE]
 
Bado anawapigisha danadana. Hawajui hiyo misaada itapitia wapi. Yaani russia wanajua njia za kuingilia ukraine kuliko wa ukraine wenyewe....
 
Back
Top Bottom