JustDoItNow
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,967
- 1,513
Kaingia kwa style ile ile ambayo Marekani na washirika wake huitumia kuvamia nchi kama Iraq, Libya, Afghanistan etc.
Anaenda kutoa misaada ya kibinaadamu.
Magari makubwa 300 yakiwa na shehena za mahitaji ya binadamu yamevuka mpaka na kuingia Eastern ukraine.
Hii itasaidia sana kuleta amani eneo hilo. kwani Russia ana uzoefu wa game linalochezwa huko.
Hongera Putin kwa kujali watu wanaopata shida ya vita.
Anaenda kutoa misaada ya kibinaadamu.
Magari makubwa 300 yakiwa na shehena za mahitaji ya binadamu yamevuka mpaka na kuingia Eastern ukraine.
Hii itasaidia sana kuleta amani eneo hilo. kwani Russia ana uzoefu wa game linalochezwa huko.
Hongera Putin kwa kujali watu wanaopata shida ya vita.