hatimaye pd proxy yarudi uwanjani

Fatma Bawazir

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
492
180
pd proxy imerudi uwanjani kwa port ileile cha kufanya wakati wa ku connect unaisubiria kama baada sekunde kumi na imerudi kwa speed kubwa sana kweli walikuwa wa upgrade 3g yao
 
pd proxy imerudi uwanjani kwa port ileile cha kufanya wakati wa ku connect unaisubiria kama baada sekunde kumi na imerudi kwa speed kubwa sana kweli walikuwa wa upgrade 3g yao




ni kweli bi fatma hata mimi kwangu imekubali na speed iko safi sana
 
Goooood news!! Vipi majeruhi, washatoka ICU maana mi kusikia tu basi limeyumba tayari nshavunjika miguu!
 
Goooood news!! Vipi majeruhi, washatoka ICU maana mi kusikia tu basi limeyumba tayari nshavunjika miguu!


na limerudi kwa speed kubwa sana kama utakaa siti ya mbele inabidi uvae miwani ya mbao

Capturenn.PNG
 
pd proxy imerudi uwanjani kwa port ileile cha kufanya wakati wa ku connect unaisubiria kama baada sekunde kumi na imerudi kwa speed kubwa sana kweli walikuwa wa upgrade 3g yao

Dah, umenichekesha sana asee! Poleni kwwa nyie mlojeruhiwa, wengine ilisumbua kidogo tu speed tukabadili port speed zikaendelea kama kawaida!
 
pd proxy imerudi uwanjani kwa port ileile cha kufanya wakati wa ku connect unaisubiria kama baada sekunde kumi na imerudi kwa speed kubwa sana kweli walikuwa wa upgrade 3g yao

PORT sio ile ile dada kuna port mpya hapo haujashtukia tena fanya kuifnya iwe default
Lkn unazidi kuwavimbisha watu vichwa maana watu wamepost hizi port kila mahala tena bora ungeendeleea kula kimya kimya maana hii port mpya wanaifix sio mda mrefu maana ya awali imekula cha meno tayari
 
PORT sio ile ile dada kuna port mpya hapo haujashtukia tena fanya kuifnya iwe default
Lkn unazidi kuwavimbisha watu vichwa maana watu wamepost hizi port kila mahala tena bora ungeendeleea kula kimya kimya maana hii port mpya wanaifix sio mda mrefu maana ya awali imekula cha meno tayari

tatizo watu waropokaji, hii vda wataipiga pini si muda, hapa nafanya research ya port zingine!
 
tatizo watu waropokaji, hii vda wataipiga pini si muda, hapa nafanya research ya port zingine!

Ni sahihi mkuu sina imani sana maana mm port ninayoitumia sasa nilishaijaribu jana ikawa inagoma
Lkn ilipofika saa kumi katika jaribu jaribu nikaona imeanambia port X found nikasema ashkuriwe aliye juu
Hivo dada yetu Fatma Bawazir tusijipe moyo PD imerejea hiyo port ya awali itakuwa imechinjiwa baharini kutokana na hizi Upgrade zao za 3G na huenda Upgrade hii itaendelea siku ya kazi lets say Jumanne na huwezi jua hizi mpya nazo zitachinjiwa baharini....People be ALERT its no more BUSINESS as Usual.

Ukitaka kujua kwa nn sio port ya zamani haiconnect jibu utalipata kwa nn TunnelGuru same port na PD lkn TG haisogei.....
Port mpya imefungwa ktk server za Tunnelguru mpaka Admin aifungue
 
Ngoja 2 me nasikilizia mana Watu ndo wanaanza kuzubaa tena,
kuonekana kwa hyo orpt mpya,
watu wanajiona, kama wamewawin ma ISP,
Na kuanza kujisifu humu, utafikiri wao wanavyoona masifa yenu humu, HAWAUMII hv, m2 unavyomuibia huku anajiona Lazma aumie,
ngoja waibane na hii, arafu ndo muone mambo ya UMIMI (colonial era) Yaanze kwa PM, ndipo Ma resseller atakapo anza kuchunga abiria wake.

.
PD PROXY sio mataila walivyo wapa note hii
.
Note: Do not ask us to open a
port for you since it is not us
who can open those ports. You
need to contact your ISP/
Network Administrator to
open at least one UDP port for PD-Proxy to work. If you
cannot find an open UDP port
then please try to use ICMP and
TCP protocol.
 
Back
Top Bottom