Hatimaye nipo huru

Kama ulibahatika kumfahamu Mzee Njemba na Shariff Badawi, wewe ni mmoja wa wenye bahati. Bila shaka uliitumia vyema.
Acha niweke wazi mzee, we ni moja Kati ya watu wanao ni hamasisha Sana.
👉Kuanzia uandishi wako ulio Bora, mpaka unavyo ishi na watu humu jumwaani. Hujawahi ivunja heshima yako🙏🙏🙏
 
Kuna watu humu duniani wamebarikiwa vipawa mbalimbali wakiwemo Mzee Njemba (R. I. P) na Shariff Badawi (R. I. P)

Sijui kama waliacha warithi wenye kuendeleza mazuri yao.
Hakuna 😁wana rasharasha tu sio mvua yenyewe
 
Kuna shuhuda mmoja humu JF anarudia kuandika simulizi yake akimhusisha Juma Njemba.


 
Uandishi uliotulia. Story iliyotulia. Najua umestaafu vizuri, vinginevyo unastahili kunufaika na huu uandishi na hizi simulizi zako.
 
MKOKOTONI na sio mpeketoni
 
Mkuu kwanza hongera kwa simuliz nzur yenye uhalisia na maisha tunayoishi na ahsant kwa kutuelimisha na kwa wakat huo huo kutuburudisha.

Mafundisho ya dini yanatuelekeza tukiwa tunafanya tendo la ndoa tusisahau kuomba dua (kutaka ulinzi kwa allah) kutokan na shetani alie laa'niwa. Kwa sababu anakua yupo karb na wanandoa wakt wa jimai ili kutanguliza mbegu zake. Sasa hapa nahisi ndicho kilichowakuta wazazi wa panzi wakapata mtoto wa jini bila ya wao kutanabahi.

Tumepewa uwezo wa kuwatawala majini lkn kinyume na kua na taaluma ya kuwatawala wamekua wanatutawala sisi. Tunashauriwa tuwe twajilinda kwa allah kwa adh-kar (dua) mbali mbali ili wasiweze kututawala.

Wakati wa jimaai(tendo la ndoa) waweza soma hivi ww na mwenza wako( Allahumma jannibna shaitwana wajannibi shwaitana maa razaktana) tafsir (ewe mola tulinde na shetani na kilinde na shetani na kile utakachoturuzuku).

Allah aa'lam
Naomba kuwasilisha.
 
Swadakta mkuu.

Shukrani kwa pongezi. Nawe zikurudie kwa kumakinika nayo.
 
Ni Mwembe mawazo ,mwembe tayari ni mombasa!
 
Nilibadilisha majina herufi moja au mbili ama tatu kwa sababu maalum (siyo code)

Nimefurahi umewajuwa hao

Basi na wengine wawatambue hao wengine kuleta uhalisia.
Binafsi nilifahamu hili na nilikuja kuona hii stori ya kweli baada ya kumtaja yule bwana wa pale border ya Horohoro japo nadhani hata kampuni ya mabasi umeitaja kivyengine au labda hapo zamani ilitumia hilo jina ila jamaa bado yupo hadi sasa pale border na kampuni ile ambayo ofisi zake ziko Kariakoo.
 
Kuchengesha kidogo inaleta ufikiri.

Ahsante kwa kushuhudia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…