Ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana.
Nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za Tanzania ni mateso. Wamenihukumu bila kosa mimi. Sema sawa tu MUNGU yupo
Anaesema jela ni ya wanaume hayajamkuta! Jela isikie kwa mwenzako tu ma usiombe kuwa mfungwa! Ni mateso unaweza kwenda mzima ukarudi na magonjwa mbalimbali makubwa makubwa.