24th DECEMBER
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 401
- 167
Mavu
Mavuno yanatokana na 1) Aina ya mbegu, 2)Matumizi ya mbolea kwa usahihi, 3)usafi wa shamba 4)Hali ya hewa/Upatikanaji wa maji bila ya kusahau 5) Nafasi kati ya mche ne mche pamoja na mstariHivi kitaalamu ukilima heka moja mahindi kwa kufuata kanuni zote mbegu nzuri. Heka itatoa gunia ngap??