Hatimaye nimemuona Shikuba

Hatimaye nimemuona Shikuba

Wewe unaonekana hufatilii habari za huyu jamaa..
Wakati habari zake zinaletwa na kusoma Kila mtu alikuwa anataka japo picha kumfahamu..
Sometimes ukisoma habari ya mtu ambaye anaongelewa Sana Vizuri kumjua.

..kwahiyo hapo wala sioni kosa langu mkuu..

Kaa kimya sometimes!

ndio kuna muda nashangaa sana unavyoiga upande wa pili au wewe ni yule ? 😵
 
Mkuu Drug Lord duniani alikuwa ni mmoja tu Pablo Escobar, hawa wengine ni wauza unga tu kawaida, japo wana pesa ila hii title ya Drug Lord no
 
Back
Top Bottom