Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,135
- 95,845
Nakubali Kaka, we will make it.Tatizo langu akil nyingi mapaka nywele zinapukutika. Na ni kawaida yetu sisi ambao tumezaliwa ku change the world
Kwa ajili ya kutendwa mara mmoja??
Kumbe hujakomaa wewe eeh π€£π€£
Nakwambiajeeee... Bado hujasema
Nawa omba, mni acheπ€π, mapenzi is not for everybody π€Nakwambiajeeee... Bado hujasema
Nilikua wapi kipindi hiko na kwann apigwe yeye na hiko kitu kizito kama akifa je mrithi wake naniπKirikou swahiba wako alipigwa na kitu kizito mpk kaomba mods wafute uzi ππππ
Kumbe humu Pana wambea kibao mwacheni ajilie dodo chini ya mwembe ππJirani uongo hapa kuna page ya jina la shemela umechana ππππ
Wambea bado hujatudanganya aiseee..!!
Mi nipo mwingi sema tunapishana jirani!!
Hakika muhbuba hao waliokutenda before ni vichaa sio kwa utamu huu wa asali acha nyuki waning'ate tuWeee sema kweli π
Majuha wanajutia sasa hivi zigo linanawiri wanalitolea udenda na hapa ipo nitaua mtuMwenye mpenzi wake kafikaπ
Sitaki gombania goli mieJamani Missy tusifukuzane...
Si unaona hata Leejay kashaandika kwamba this man sio kwamba yupo perfect...
Hapo alimaanisha hata PM zenu bado anaweza zitembelea π
Hivi umefutwa??? Unajua nmeitafuta hadi basiMods wanavuka mipaka kwann wafute uzi ambao mtu anamsifia mpenzi wake πππ
Njoo tuanze maandamano
Dada umeacha kupika sikuhiz unasaka ubuyu ππHivi umefutwa??? Unajua nmeitafuta hadi basi
Njoo nkupe mahaba,Kwanini ulitakaje?? Au ndio unafiki unaleta
Aliyesaka ubuyu mpaka akaachwa unamjua.Ukishikwa shikamana sio kushughulikia ubuyu mara umeachwa.Dada umeacha kupika sikuhiz unasaka ubuyu ππ
Kila laheri chiefMajuha wanajutia sasa hivi zigo linanawiri wanalitolea udenda na hapa ipo nitaua mtu
π€£π€£π€£π€£Kelele za chura zileHivi umefutwa??? Unajua nmeitafuta hadi basi
Aitamanie mahusiano ya mtu huyo katenda dhambi π€£π€£Kila la kheri mpenz@Leejay49
Love is beatiful
Kuna viumbe wanajua kutupenda Hadi unaweza tamani uuze Dunia uhamishe viumbe wa Mungu umpe yeye π
Mwisho wa siku zitakuwa za familia.ππ
Siyo uzi tu, kasema anataka kuuza na kilo moja ya dhahabu..!!