😂😂😂😂basi tukuimbie wimbo namba 303 si mbali karibu.......
Hata hajajifunza kwa mwenzake 🤣🤣We chalii unakoelekea ugonjwa wako tutaujua 🤣🤣chinga tayar yupo chini uangalizi wa madaktari wa mifugo
Inamaana ulikua unaniektia kutoka kumwoyo uvungu wa moyo wako kua unanipenda Leo unadhihirisha kwa umma kua hunitaki tena 🤣Good morning ma lovers,
Moja kati ya vitu ambavyo tunatakiwa kuepukana navyo na kupambana navyo kwa namna yoyote ile ni pamoja na upweke and finally Leejay49 nimelishinda hili.
Maana haikua rahisi being single for almost two years, na nilishagive up kwamba hakuna mapenzi ya kweli due to senarios zilizojirudia kwa ambao nilidhani wangekua wapenzi wangu (Uongo na maisha ya kuigiza) vilinitoa kwenye reli kabisa.
Sikua na option nyingine zaidi ya kukubali kuwa i will be single forever🥹🥹, kutafuta sana hela kwa nguvu na akili zangu zote, but still haikusaidia maana i used to spend alot of it nikidhani i will find peace of heart na sikuwahi kuipata. Ikafika hatua nikawa namuogopa kila mtu atakayeniface na kushow interest ya kua na mimi.. Haikua rahisi🙌🙌
But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana. Lilikuwa ni miongoni mwa maombi yangu ya mwisho kabisa, yaani kuomba kwajili ya mwanaume wa ndoto zangu, ilikua ni maombi extra baada ya kuombea kila kitu😃 lakini gues what, limetimia kabla ya wakati!
I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect kama mimi ambavyo siko perfect but we can make it na tutafika mbali (Mungu wangu ninayemwamini hajawahi kuniacha na hata kwenye hili pia naamini hataniacha).
Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tu🙏🙏 anayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love🥰🥰❤️
Muwe na Jumapili iliyo njema.
Ngoja chaz aambiwe anazo mbili (hermaphrodite)🤣Hata hajajifunza kwa mwenzake 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Break up 💔Wameufuta?? Kwanini waufute??
Mods waurudishe wasitutanie 😂😂😂😂
Angalizo usimpe mpaka ndoaGood morning ma lovers,
Moja kati ya vitu ambavyo tunatakiwa kuepukana navyo na kupambana navyo kwa namna yoyote ile ni pamoja na upweke and finally Leejay49 nimelishinda hili.
Maana haikua rahisi being single for almost two years, na nilishagive up kwamba hakuna mapenzi ya kweli due to senarios zilizojirudia kwa ambao nilidhani wangekua wapenzi wangu (Uongo na maisha ya kuigiza) vilinitoa kwenye reli kabisa.
Sikua na option nyingine zaidi ya kukubali kuwa i will be single forever🥹🥹, kutafuta sana hela kwa nguvu na akili zangu zote, but still haikusaidia maana i used to spend alot of it nikidhani i will find peace of heart na sikuwahi kuipata. Ikafika hatua nikawa namuogopa kila mtu atakayeniface na kushow interest ya kua na mimi.. Haikua rahisi🙌🙌
But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana. Lilikuwa ni miongoni mwa maombi yangu ya mwisho kabisa, yaani kuomba kwajili ya mwanaume wa ndoto zangu, ilikua ni maombi extra baada ya kuombea kila kitu😃 lakini gues what, limetimia kabla ya wakati!
I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect kama mimi ambavyo siko perfect but we can make it na tutafika mbali (Mungu wangu ninayemwamini hajawahi kuniacha na hata kwenye hili pia naamini hataniacha).
Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tu🙏🙏 anayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love🥰🥰❤️
Muwe na Jumapili iliyo njema.
Daah 🤣🤣🤣Ngoja chaz aambiwe anazo mbili (hermaphrodite)🤣
Aaaaaah sio rahisi hivo 🫀 lazima wandinyane kwanza kupima wingi wa oil🤣Angalizo usimpe mpaka ndoa
Unaruhusu vipi mtu akutongoze miaka 5 wakati upo kwenye ndoa? Hata wewe huna msimamo na unasema kabisa ndoa iyumbe ukampe vya hasira.Wanaume hamjawahi kuchoka kukaa sub, imagine kuna mkaka ananitongoza toka 2019Anasubiri ndoa iyumbe nikampe vya hasira
Kwenye hili nawaaminia
Kumbe tulikuepo foleni na hamniambii🌝Daah 🤣🤣🤣
Atalia sijui atakimbia jf
Ubaya ni kwamba hata ukisingiziwa wananzengo hatuelewi 🤣kwani utapiga picha ili tuamini?Daah 🤣🤣🤣
Atalia sijui atakimbia jf
Za jumapili MkuuMkuu😂
Nini tena Rafiki..nimepitwaTresor Mandala rafiki njoo uone