Hatimaye nimekamilisha vigezo vya kuoa!

Hatimaye nimekamilisha vigezo vya kuoa!

Very Sorry!
Ila usijali utapata wengine wanaume tupo tofauti sana
Mfano mm ukiacha makovu na ngeu ambayo yaweza, kuwa hakupenda yeye labda ajali, majanga kama moto au ukatili Wa wabinadamu nk
Ila Sipendi mwanamke aliye jichora tatoo! Ya kuchoma au kupaka sijui star au madudu gani
aliyetoboa pua, toboa kitovu, au kuvaa mabangili mengi mkononi na miguuni,
Au mwanamke anakuwa na kilema sababshwa na tabia mfano kutembea amejbinua makalio, wakati angetembea kawaida tu! Nk
Aisee kweli bahati haikuwa yangu
 
Vigezo vyote ulivyotaja nimevi meet nnavyo, except kigezo kimoja tu sina...mwaka jana january nilipataga ajali ya gari nna Kovu hivi mkononi na sehemu zingine ambazo hazionekani, pia my bad nna mchumba tayari.
I wish you Lucky
NB: Kwa vigezo hivyo nakushauri tembelea makanisa ya wasabato wadada wa namna hiyo wako wengi mno.
Ok hongera, but Wanawake Wa kisabato hata humu wamo! Jf imebeba matabaka yote sipokuwa ambao hawana smartphone! So kuwa mpole I hope nitapata mchumba ninayemtaka humhum jf, kwan jamii zote zipo humu!
 
Nina sifa zooooote mpk umri ila tuu hapo kwa rangi mimi ni mweusi tiiiiiiiiiiiiiiiii sina tofauti na mpingo........ na elimu kama nimekuzidi
 
Nina sifa zooooote mpk umri ila tuu hapo kwa rangi mimi ni mweusi tiiiiiiiiiiiiiiiii sina tofauti na mpingo........ na elimu kama nimekuzidi
Usijali, utampata wako! Subr
Nam Nasubr Wangu nwenyewe rangi ya kunde, au mweupe wastani, sio yule mweupe too much mpaka mishpa ya damu yaonekana!
 
Hivi kumbe kuna wanaume wenye hashuo hizi. Ewe kijana mke mwema anatoka kwa Mungu piga magoti muombe akupe ubavu wako, sio hizo sifa ulizozianisha hapo utautwaa mkenge uje utulilie hapa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sikujua kuna wadada hawatoboi hata masikio!
Asee kwa vigezo hivi, kwa kweli apate wa kufanana nae haswa. Ole wake sasa mdada akutwe na kovu kwenye ulimi.
Haha hapo penye masikio kausha kidogo teh.

Yani nimeangalia ngeu zangu za miguuni nimecheka
 
Haha hapo penye masikio kausha kidogo teh.

Yani nimeangalia ngeu zangu za miguuni nimecheka
Ndo napenda mke wangu awe hivyo, mm binafsi sipendi, licha ya mimi hata ndugu zangu tu et nikamtambulishe mchumba kwa wazaz wangu na ndugu zangu mchumba nwenyewe ametoboa masikio Mara mbili, yaani sikio moja matundu ma mawili au tatu jumla 4 au 6 Heleni zimezunguka sikio zima au katoboa pua na kuning'niza heleni msomi mzima anakuwa kama bib Wa kimasai hiyo aibu nitaificha wapi mie? Huyo Simtaki!
 
Ndo napenda mke wangu awe hivyo, mm binafsi sipendi, licha ya mimi hata ndugu zangu tu et nikamtambulishe mchumba kwa wazaz wangu na ndugu zangu mchumba nwenyewe ametoboa masikio Mara mbili, yaani sikio moja matundu ma mawili au tatu jumla 4 au 6 Heleni zimezunguka sikio zima au katoboa pua na kuning'niza heleni msomi mzima anakuwa kama bib Wa kimasai hiyo aibu nitaificha wapi mie? Huyo Simtaki!
Haha sawa baba, umeeleweka
 
Ndo napenda mke wangu awe hivyo, mm binafsi sipendi, licha ya mimi hata ndugu zangu tu et nikamtambulishe mchumba kwa wazaz wangu na ndugu zangu mchumba nwenyewe ametoboa masikio Mara mbili, yaani sikio moja matundu ma mawili au tatu jumla 4 au 6 Heleni zimezunguka sikio zima au katoboa pua na kuning'niza heleni msomi mzima anakuwa kama bib Wa kimasai hiyo aibu nitaificha wapi mie? Huyo Simtaki!
Mbona unadharau Bibi wa Kimaasai?
 
Usijali, utampata wako! Subr
Nam Nasubr Wangu nwenyewe rangi ya kunde, au mweupe wastani, sio yule mweupe too much mpaka mishpa ya damu yaonekana!


Najua mimi napenda umpingo wango...................................... Nashkuru mama sana kwa kuzaa na black maana yeye ni mweupe.........................

Najua atakuja tuu
 
Back
Top Bottom