Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Aisee kweli bahati haikuwa yanguVery Sorry!
Ila usijali utapata wengine wanaume tupo tofauti sana
Mfano mm ukiacha makovu na ngeu ambayo yaweza, kuwa hakupenda yeye labda ajali, majanga kama moto au ukatili Wa wabinadamu nk
Ila Sipendi mwanamke aliye jichora tatoo! Ya kuchoma au kupaka sijui star au madudu gani
aliyetoboa pua, toboa kitovu, au kuvaa mabangili mengi mkononi na miguuni,
Au mwanamke anakuwa na kilema sababshwa na tabia mfano kutembea amejbinua makalio, wakati angetembea kawaida tu! Nk