goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,636
- 9,132
Sawa karibu tena.Ahsante sana.
Sawa karibu tena.Ahsante sana.
Shukrani kwa ufafanuzi nduguMbona umemuandama sana akiwa mwanaume ama mwanamke hakuna tatizo wala hakuna ubaguzi humu mtandaoni JF,
Yeye amehitaji ukaribisho na ushirikiano wenu katika mtandao huu,
Na yeye pia ameahidi kujitambulisha baadaye akishajua vyema matumizi ya mtandao huu.
Ulevi wako nini hasa?Bado sijajua hilo, ila kuna ulevi wa vitu ambao unaweza kupelekea hivyo
Amenichanganya kidogo itabidi aje atoe ufafanuziUmegundua kumbe na ww. Si yule Jose tuliyemzoea
Ahaha sijapiga vyombo leo mkuuMkuu vp, umeonja yale maji yetu nini! naona umechangamka sana
Mambo yenye tija yako lukuki. yapi yenye tija kwakoKufuatilia mambo yenye tija
Karibu comrade dx and RxHabari zenu wana JamiiForum,
Mimi ni mgeni katika hii media, ni matumaini yangu nitapata ushirikiano mzuri kwenye matumizi ya hii media kwa kunielekeza yote nisiyoyajua
Shukrani sana
Tutumie kiingereza ndio ujibu au?? Mbona simple tu kusema KE au ME? au mkuu wewe ni sexless??(Ashakhum sio matusi)Usijali bana
Later you will nielewa mimiHata mimi nimeshangaa
Ni mwendo wa kusalimia watu kwa nguvu
Jose mbona sikuelew
Dont panic my dearAmenichanganya kidogo itabidi aje atoe ufafanuzi
Unaona mkuu, sio uandishi wako huuLater you will nielewa mimi
ahahaha nimekosea mkuuUnaona mkuu, sio uandishi wako huu
No baby
Usijali ndugu, hata mimi mwenyewe hapa bado sijaanza kuulizia jinsia za watu japo nimefurahi sana kwa kunikaribisha vizuri kwenye hii media na ushirikiano nimeuona hadi sasa namna mambo yanavyoenda.Tutumie kiingereza ndio ujibu au?? Mbona simple tu kusema KE au ME? au mkuu wewe ni sexless??(Ashakhum sio matusi)