souljah meditater
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,146
- 2,094
Mkuu hayo maneno mengi hupaswi kuyaweka wazi namna hii kwa sababu huu ni uthibitisho tosha na kama huyo mtu akiwa msanii anaweza akajitengenezea tukio lolote alafu akakuangushia jumba bovu. Ushauri wangu unaitwa Sulubu Kimyakimya pasipo ushahidi alafu kwenye mazishi tunatimba kimyakimya kuuaga mwilintakachokufanyia hutonisahau bado napambana na maisha upya ila kaa ukijua ntapambana na wewe hata ukiwa maiti.kitu ntakachokufanyia itabaki historia kwa kizazi chako chote sitakuacha Salama,nakuahidi ukoo wako wote watanilaumu kwa ntakachokifanya