Fazz
JF-Expert Member
- Mar 14, 2019
- 362
- 571
Wakuu kwema natumai mu wazima
Jana ni moja ya siku mbaya sana kwenye harakat zangu .Nikiwa na chombo yangu tvs king bajaj mitaa ya ubungo karibu na njia panda ya chuo darajani pale nikiwa na abiria watatu ,Gari aina ya coaster ya abiria yenye no T 446 DXT iligonga bajaj yangu kwa nyuma kitu kilichosababisha bajaj iponduke kiupande na kusababisha kioo cha mbele kupasuka na focol (foko) kupinda na nyuma kubonyea sana luckly engine haikuguswa
.Kwa upande wangu na abiria hakikua na madhar makubwa San zaidi ya michubuko .Baada ya gari hilo kugonga chombo changu jamaa alikimbia na gari but lukly kuna wadau walinasa plate number bad enough kulikua na askari pale mataa ila waligoma kutoa ushirikiano kwamba lile sio eneo Lao so depressed nikakongoja bajaj yangu iliyoumia vibaya sana mpaka garage iliyokua karibu
Nimeapa kuisaka gari kwa udi na uvumba mpaka niipate na akigoma kulipa lazima kisheria au past na sheria dereva awajibike
Fundi anataka almost 500k ili chombo irufi rod I'm so angry kwa jamaa kutaka kuniua na kukimbia ....Nitaleta mrejesho
Rejea
Jana ni moja ya siku mbaya sana kwenye harakat zangu .Nikiwa na chombo yangu tvs king bajaj mitaa ya ubungo karibu na njia panda ya chuo darajani pale nikiwa na abiria watatu ,Gari aina ya coaster ya abiria yenye no T 446 DXT iligonga bajaj yangu kwa nyuma kitu kilichosababisha bajaj iponduke kiupande na kusababisha kioo cha mbele kupasuka na focol (foko) kupinda na nyuma kubonyea sana luckly engine haikuguswa
.Kwa upande wangu na abiria hakikua na madhar makubwa San zaidi ya michubuko .Baada ya gari hilo kugonga chombo changu jamaa alikimbia na gari but lukly kuna wadau walinasa plate number bad enough kulikua na askari pale mataa ila waligoma kutoa ushirikiano kwamba lile sio eneo Lao so depressed nikakongoja bajaj yangu iliyoumia vibaya sana mpaka garage iliyokua karibu
Nimeapa kuisaka gari kwa udi na uvumba mpaka niipate na akigoma kulipa lazima kisheria au past na sheria dereva awajibike
Fundi anataka almost 500k ili chombo irufi rod I'm so angry kwa jamaa kutaka kuniua na kukimbia ....Nitaleta mrejesho
Rejea
Nataka kuhamia Dar es salaam na bajaji yangu
Wasaalam Nikiwa Kama kijana wa 20th mhitim wa chuo Cha Kati NAtaka nihame mji ninaokaa na kuhamia jiji la furaha dsm nikiwa na Bajaj yangu TV's king namba D ili nij kupiga kazi huko Plan ni kujiunga na makampuni ya usafirishaji Kama Bolt au Uber .. Naombeni muongozo wadau..
www.jamiiforums.com