Hatimaye mwisho wa dunia umefika, usipuuze hii

Hatimaye mwisho wa dunia umefika, usipuuze hii

Wakuu polen na shughul za hapa na pale kwa siku ya leo.Kwa waislamu wote niwatakie sikukuu njema ya Eid ell-Hajj.




Nijikite kwenye maada iliyonipandisha jukwani kwa siku ya leo ni juu ya uwepo wa habari mbalimbali zinazoendelea kusambaa hususani kwenye mitandao ya kijamii na website mbalimbali zikielezea kuwepo kwa mwisho wa dunia tarehe 23 na 21 mwezi huu 2017 pia manabii wakubwa wa Marekani wameelezea tukio hilo litakavyokuwa.PICHA HIZI HAPA[emoji116][emoji116][emoji116]
ba0230ce93ece1eed9b7180be2597ee3.jpg
f3d6675fb885e23ca56f8a03656d2fd1.jpg
eef92c511162cbd344f16f221bf54ba3.jpg
070dac350e52fb19e01fc72b30a9f5a3.jpg
b8be2f9d04db4d0bbfa7cc47d534ff8b.jpg
0efa846636c027e91e8fa527d225581e.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachofundisha bnaadam ni mabadliko tu ya kidunia n c mwsho wa dunia.... Ila, ww mtoa mada.... kwnz umeamua kupotoka mwnyw, pili unaipotosha jamii ususan ya wanaJF, nasema huo ni upuuuzi.... Uone ata aibu n mungu anakuona, lohh....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa nao watatabirije mwisho wa dunia wakati ndo kipindi chetu cha kupokea posho zetu toka serikali yetu pendwa.
Huenda tukapandishwa na maflyover yetu na decade excrement juu..
Dawa yao supreme court ya Kenya tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesheni mkiomba maana hapana ajuaye siku wala saa isipokuwa ni Mwenyezi MUNGU peke yake.

Extend your hand in kindness and offer help to the most in need
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom