Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,653
- 218,143
Hii ni baada ya kukalishwa selo kwa mwezi mmoja , ameachiwa leo jumatatu . Alikamatwa kwa tuhuma za kupiga picha gari la DG wa TISS , lakini baadaye akashitakiwa kwa kesi ya kuumba ya kusambaza picha za ngono .
Shukrani ziwaendee wanasheria wa Chadema