#COVID19 Hatimaye mwanga unaonekana. Janga la UVIKO-19 ni kama inafikia tamati

DALA

JF-Expert Member
Aug 24, 2009
2,212
4,517
Habarini za asubuhi wakuu,

Moja kwa moja kwenye mada tajwa. Ni hivi, mpaka sasa inaonekana viongozi wa mataifa yenye ushawishi pamoja na wataalamu wa afya wameona ukweli kwamba UVIKO-19 ni ugonjwa ambao tunalazimika kuishi nao.

Wametambua kwamba pamoja na kuchanja, ngoma bado inaendelea kuenea, pamoja na kufunga mipaka, mara barakoa, mziki uko palepale. Lakini zaidi ya yote kuna jambo ambalo nahisi limewafungua macho zaidi, kwamba idadi ya maambukizi inakuwa juu sana, wanaopona pia wanakuwa wengi huku kukiwa na idadi ndogo sana ya vifo.

Maana yake ni kwamba huu ni ugonjwa ambao kweli unaoua ila zaidi wale wenye umri mkubwa na wenye matatizo mengine ya kiafya. Kwa watu wasio na matatizo mengine ya kiafya na siyo wazee, idadi ya vifo ni vichache sana.

Mimi wiki iliyopita nimeshuhudia mtu wangu wa karibu ameupata UVIKO-19 ila mimi sikuipata, cha kushangaza mwenzangu hakuwa na maumivu makali wala nini. Haiogopeshi hata kidogo kwa mtazamo wangu.

Kibaya zaidi, huu ugonjwa haujawaua waafrika kama kind Gates walivyotabiria kwamba waafrika wataokotwa mitaani wakifa kama mende. Hili ni jambo la kufurahia sana.

Mataifa mengi ya Ulaya yameanza kulrgeza masharti na kufungua mipaka yao ili kuruhusu maisha ya rudi kama kawaida.

Inawezekana mpaka ifikapo msimu wa joto tutakuwa watu huru duniani kote.
 
Hakuna namna bali kuishi nao tuu kama Malaria na magonjwa mengine.
Maisha ni lazima ya endelee sio kila siku kupambania kitu kimoja tuu hicho hicho
 
kinachotia shaka ni, uviko 19 ipi, omicrom ya south africa au hizo varieties mbalimbali zilizotokea maeneo mbalimbali?
 
Habarini za asubuhi wakuu,

Moja kwa moja kwenye mada tajwa. Ni hivi, mpaka sasa inaonekana viongozi wa mataifa yenye ushawishi pamoja na wataalamu wa afya wameona ukweli kwamba UVIKO-19 ni ugonjwa ambao tunalazimika kuishi nao.

Wametambua kwamba pamoja na kuchanja, ngoma bado inaendelea kuenea, pamoja na kufunga mipaka, mara barakoa, mziki uko palepale. Lakini zaidi ya yote kuna jambo ambalo nahisi limewafungua macho zaidi, kwamba idadi ya maambukizi inakuwa juu sana, wanaopona pia wanakuwa wengi huku kukiwa na idadi ndogo sana ya vifo.

Maana yake ni kwamba huu ni ugonjwa ambao kweli unaoua ila zaidi wale wenye umri mkubwa na wenye matatizo mengine ya kiafya. Kwa watu wasio na matatizo mengine ya kiafya na siyo wazee, idadi ya vifo ni vichache sana.

Mimi wiki iliyopita nimeshuhudia mtu wangu wa karibu ameupata UVIKO-19 ila mimi sikuipata, cha kushangaza mwenzangu hakuwa na maumivu makali wala nini. Haiogopeshi hata kidogo kwa mtazamo wangu.

Kibaya zaidi, huu ugonjwa haujawaua waafrika kama kind Gates walivyotabiria kwamba waafrika wataokotwa mitaani wakifa kama mende. Hili ni jambo la kufurahia sana.

Mataifa mengi ya Ulaya yameanza kulrgeza masharti na kufungua mipaka yao ili kuruhusu maisha ya rudi kama kawaida.

Inawezekana mpaka ifikapo msimu wa joto tutakuwa watu huru duniani kote.
Omicron haina meno, ndio maana tumerelax sasa hivi. Ila ile delta ulikuwa Mziki mwengine.
 
Habarini za asubuhi wakuu,

Moja kwa moja kwenye mada tajwa. Ni hivi, mpaka sasa inaonekana viongozi wa mataifa yenye ushawishi pamoja na wataalamu wa afya wameona ukweli kwamba UVIKO-19 ni ugonjwa ambao tunalazimika kuishi nao.

Wametambua kwamba pamoja na kuchanja, ngoma bado inaendelea kuenea, pamoja na kufunga mipaka, mara barakoa, mziki uko palepale. Lakini zaidi ya yote kuna jambo ambalo nahisi limewafungua macho zaidi, kwamba idadi ya maambukizi inakuwa juu sana, wanaopona pia wanakuwa wengi huku kukiwa na idadi ndogo sana ya vifo.

Maana yake ni kwamba huu ni ugonjwa ambao kweli unaoua ila zaidi wale wenye umri mkubwa na wenye matatizo mengine ya kiafya. Kwa watu wasio na matatizo mengine ya kiafya na siyo wazee, idadi ya vifo ni vichache sana.

Mimi wiki iliyopita nimeshuhudia mtu wangu wa karibu ameupata UVIKO-19 ila mimi sikuipata, cha kushangaza mwenzangu hakuwa na maumivu makali wala nini. Haiogopeshi hata kidogo kwa mtazamo wangu.

Kibaya zaidi, huu ugonjwa haujawaua waafrika kama kind Gates walivyotabiria kwamba waafrika wataokotwa mitaani wakifa kama mende. Hili ni jambo la kufurahia sana.

Mataifa mengi ya Ulaya yameanza kulrgeza masharti na kufungua mipaka yao ili kuruhusu maisha ya rudi kama kawaida.

Inawezekana mpaka ifikapo msimu wa joto tutakuwa watu huru duniani kote.
FB_IMG_1643347277163.jpg
 
Covid inaisha sasa muanze kulipa mikopo ya COVID. Miaka 10 ijayo tutajikuta tunalipa mikopo ifuatayo
1. Mkopo wa COVID
2. Mkopo wa Malaria
3. Mkopo wa kipindupindu
4. Mkopo wa HIV/AIDS
 
katika jamii toleo la kwanza la kitu chochote huwa linakosha sana nyoyo za watu (mfano tamthilia/movie/sinema/magari/simu etc). Kwa toleo la kwanza la UVIKO walioupata walipatwa na maumivu makali sana ya mgongo/kifua/mwali kwa ujumlaa. Wengine walikuwa wanaliaaa na kupiga mayoweee. Haya matoleo mengine yamekuwa na mabadiliko kulingana na miili yetu kujenga kinga zaidi

tushukuru nguvu ya uponyaji ilopita na kufanya tusiugue wengii .... kikubwa tujali afya zetu na za wenzetu.. hakuna aijuaye kesho
 
Covid inaisha sasa muanze kulipa mikopo ya COVID. Miaka 10 ijayo tutajikuta tunalipa mikopo ifuatayo
1. Mkopo wa COVID
2. Mkopo wa Malaria
3. Mkopo wa kipindupindu
4. Mkopo wa HIV/AIDS

Hapa napo pana shida
 
Habarini za asubuhi wakuu,

Moja kwa moja kwenye mada tajwa. Ni hivi, mpaka sasa inaonekana viongozi wa mataifa yenye ushawishi pamoja na wataalamu wa afya wameona ukweli kwamba UVIKO-19 ni ugonjwa ambao tunalazimika kuishi nao.

Wametambua kwamba pamoja na kuchanja, ngoma bado inaendelea kuenea, pamoja na kufunga mipaka, mara barakoa, mziki uko palepale. Lakini zaidi ya yote kuna jambo ambalo nahisi limewafungua macho zaidi, kwamba idadi ya maambukizi inakuwa juu sana, wanaopona pia wanakuwa wengi huku kukiwa na idadi ndogo sana ya vifo.

Maana yake ni kwamba huu ni ugonjwa ambao kweli unaoua ila zaidi wale wenye umri mkubwa na wenye matatizo mengine ya kiafya. Kwa watu wasio na matatizo mengine ya kiafya na siyo wazee, idadi ya vifo ni vichache sana.

Mimi wiki iliyopita nimeshuhudia mtu wangu wa karibu ameupata UVIKO-19 ila mimi sikuipata, cha kushangaza mwenzangu hakuwa na maumivu makali wala nini. Haiogopeshi hata kidogo kwa mtazamo wangu.

Kibaya zaidi, huu ugonjwa haujawaua waafrika kama kind Gates walivyotabiria kwamba waafrika wataokotwa mitaani wakifa kama mende. Hili ni jambo la kufurahia sana.

Mataifa mengi ya Ulaya yameanza kulrgeza masharti na kufungua mipaka yao ili kuruhusu maisha ya rudi kama kawaida.

Inawezekana mpaka ifikapo msimu wa joto tutakuwa watu huru duniani kote.
HUU UGONJWA WA MCHONGO TABU KWELI
 
Back
Top Bottom