Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,904
.hizi zilikuwa enzi za mbeleko
yaani hadi kombe lina rangi ya wananchi wabebaji wana rangi ya mikia
......Huyo aishi manula anadaka kama nyani........shiboub na pasi za mikogo huku kahata anasambaza wanaupataaaaaaaaa........Ndani ya miaka sita iliyopita mikia fc na yanga african wameweza kuchukua bingwa wa vpl kwa kila mmoja kuchukua mara tatu mfululizo
Tofauti na yanga waliochukua ubingwa back to back kwa uwezo mkubwa wale wenzao upande wa pili walichukua ubingwa mara mbili mfululizo kwa kusaidiwa na penat za utata na magoli ya off side ambayo ni fedheha kama ulipata kuyaangalia
Angalau mwaka huu mikia wameweza kuchukua ubingwa bila skendo
Hongera kwenu mikia fc ndani ya miaka mitatu mwaka huu nasema wazi mmestahili
Ila pamoja na yote ligi ya msimu huu utamu haswa ulikuwa dakika ya 44 uwanja wa taifa tar.8/3/2020 mbele ya raisi wa nchi na raisi wa Caf, Raha tuliyopata wanajangwani imepoza machungu yote ya kukaa miaka mitatu bila kuinua kwapa
View attachment 1492429View attachment 1492429
Daima mbele nyuma mwiko
"Simba walitaka nipate kadi, wanipe IST" - Kabwili | East Africa TelevisionPia washabiki wa pamba veteran tunasema Simba ni hatari ichukue tu kombe hata miaka 7 ijayo .Nawakilisha
sie tunabebwa ila nyie mnazidi kaah!afu hamna hata haya mnafurahia tu kucheza mkiwa 12 uwanjaniwakati tabwe anafunga magoli ya mkono na Ali ali akicheza na yanga tu anajifunga mlikuwa kimya hivi iliwai tokea wapi mpira upo ndani ya nyavu kisha refa anasema kona
Mie kama shabiki wa ihefu fc nawaombea simba wabebe ubingwa miaka 6 back to bayPia washabiki wa pamba veteran tunasema Simba ni hatari ichukue tu kombe hata miaka 7 ijayo .Nawakilisha
Mabingwa wa kubong'oaView attachment 1497950
Mie kama shabiki wa ihefu fc nawaombea simba wabebe ubingwa miaka 6 back to bay
Bila mbelekomagoli ya offside umeyasahau?Ndani ya miaka sita iliyopita mikia fc na yanga african wameweza kuchukua bingwa wa vpl kwa kila mmoja kuchukua mara tatu mfululizo
Tofauti na yanga waliochukua ubingwa back to back kwa uwezo mkubwa wale wenzao upande wa pili walichukua ubingwa mara mbili mfululizo kwa kusaidiwa na penat za utata na magoli ya off side ambayo ni fedheha kama ulipata kuyaangalia
Angalau mwaka huu mikia wameweza kuchukua ubingwa bila skendo
Hongera kwenu mikia fc ndani ya miaka mitatu mwaka huu nasema wazi mmestahili
Ila pamoja na yote ligi ya msimu huu utamu haswa ulikuwa dakika ya 44 uwanja wa taifa tar.8/3/2020 mbele ya raisi wa nchi na raisi wa Caf, Raha tuliyopata wanajangwani imepoza machungu yote ya kukaa miaka mitatu bila kuinua kwapa
View attachment 1492429View attachment 1492429
Daima mbele nyuma mwiko
mikia kumbe jina lingine inaitwa chikunduna mimi mshabiki wa mashetani ya chikundi nawapongeza na muendelee kwa miaka 10 ijayo kama mlivyomfungaga mtani wenu kwa miaka saba mfululizo
Te amo simba