manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,606
- 2,055
Ndani ya miaka sita iliyopita mikia fc na yanga african wameweza kuchukua bingwa wa vpl kwa kila mmoja kuchukua mara tatu mfululizo
Tofauti na yanga waliochukua ubingwa back to back kwa uwezo mkubwa wale wenzao upande wa pili walichukua ubingwa mara mbili mfululizo kwa kusaidiwa na penat za utata na magoli ya off side ambayo ni fedheha kama ulipata kuyaangalia
Angalau mwaka huu mikia wameweza kuchukua ubingwa bila skendo
Hongera kwenu mikia fc ndani ya miaka mitatu mwaka huu nasema wazi mmestahili
Ila pamoja na yote ligi ya msimu huu utamu haswa ulikuwa dakika ya 44 uwanja wa taifa tar.8/3/2020 mbele ya raisi wa nchi na raisi wa Caf, Raha tuliyopata wanajangwani imepoza machungu yote ya kukaa miaka mitatu bila kuinua kwapa
Daima mbele nyuma mwiko
Tofauti na yanga waliochukua ubingwa back to back kwa uwezo mkubwa wale wenzao upande wa pili walichukua ubingwa mara mbili mfululizo kwa kusaidiwa na penat za utata na magoli ya off side ambayo ni fedheha kama ulipata kuyaangalia
Angalau mwaka huu mikia wameweza kuchukua ubingwa bila skendo
Hongera kwenu mikia fc ndani ya miaka mitatu mwaka huu nasema wazi mmestahili
Ila pamoja na yote ligi ya msimu huu utamu haswa ulikuwa dakika ya 44 uwanja wa taifa tar.8/3/2020 mbele ya raisi wa nchi na raisi wa Caf, Raha tuliyopata wanajangwani imepoza machungu yote ya kukaa miaka mitatu bila kuinua kwapa
Daima mbele nyuma mwiko