Ni zaidi ya mwaka tangu ameenda zakeHata mi nimewaza sana hili
Kwanini baraza kuu halijaangalia kua tulikua kwwnye kupindi cha mpito
Maana mtawala likua ni herode
Nadhani wawasamehe tu bure na mambo mengine yaendelee..!
Mnyika,zitto,mdeealimtoa akiwa mwanafunzi au ana fundisha? huyu kaingia Chadema akitokea ofisi za umma kama mtumishi... wazazi wake ndio walikuwa chuo wakipiga vipindi (Nazani ni mzee mdee ndio alikuwa ana fundisha)
aweke wazi...
Huyu Halima alikuwa mtumishi wa Umma, akaacha akaenda ktk siasa mwaka mzima na baada ya hapo akakutana na viti maalum...Mnyika,zitto,mdee
Recruit wa mbowe tangu wakiwa udsm
Zitto huko nyuma akishawahi sema hivi
Ni recruits wa mbowe yeye mwenyewe sababu kwanza walikuwaga viongozi DARUSO
zitto alikuwa PM na halima spika kama sikosei na kina mtatiro akiwa Rais sema mtatiro akakimbilia cuf.
So dogo nyamaza
Hata mi nimewaza sana hili
Kwanini baraza kuu halijaangalia kua tulikua kwwnye kupindi cha mpito
Maana mtawala likua ni herode
Nadhani wawasamehe tu bure na mambo mengine yaendelee..!
Hili sio kwa vijana wa CHADEMA tu, ni kwa wanachama wa vyama vyote wanafanya hivyo. Muhimu wanatakiwa kujua siasa si uadui.Haya ndo makosa mnayofanya,
Kabla ya kosa hili la Mdee hukuwa unajua kuwa ni msagaji?
Mbona vijana wa Chadema huwa mko hivyo?? Unajua mnakosea sana!
Ikitokea wamepatana na akarudi chadema utasemaje?
Hivi unajus siasa haina uadui wa kudumu mkuu??
Kwanin usiqnzishe mada kuwahusu hao unaowazungumziaKuna nini kati ya mdee na ester bulaya mpaka wasafiri pamoja na mara nyingi huwa hivyo?
Ubunge wa damu ndo Ubunge gani huo? Mbowe aache kupotosha Watanzania kwa kauli za kihuni na kifedhuli kama hizo kisa tu kujipendekeza kwa Mama Royal Tour“Nilikwenda Nairobi, nikamuita Halima Mdee, akasafiri na Ester Bulaya. Nimekuwa nao siku 7 nikimshawishi Halima anieleze nini kilitokea, aligoma. Nikamuomba aache huo ubunge, nimemtafutia kazi Nairobi na RSA na atalipwa US$15,000 (Shs. 34.9M), Halima akagoma”.
“Halima ananiuma kwa sababu nyingi. Halima nimemtoa chuo kikuu akiwa msichana. Nimempika kwa gharama sana. Ndiyo maana nilitumia juhudi zangu zote hata kuwaita wazazi wake, wamshawishi aachane na ubunge wa damu wa Magufuli, anaharibu career yake, hakunielewa”.
“Nairobi nilipowaita Halima na Bulaya nilikuwa nakutana nao kila siku. Tunakula na kunywa pamoja. Nikimbembeleza Halima aachane na ubunge wa damu, mtetezi ni Magufuli, hayupo. Nikamuomba anieleze nini kilitokea, Hawakuwahi kunieleza hadi naondoka kwenda Dubai”.
“Kama haya nayoeleza hapa kuhusu Halima nadanganya, Halima yupo hapa asimame na aseme kama ni uongo. Akanushe kuwa sikumtafutia kazi NRB na RSA alipwe Shs. 34.9M, au kama sikuzungumza na wazazi wake, au sikumuita NRB kumshawishi aachane na ubunge wa Magufuli”.
“Siyo kazi rahisi kufukuza wanawake 19 ambao umewajenga kwa gharama, wapo wote mbele ya baraza kuu, nitawaomba sasa dada zangu hawa, aliye na jambo la kuzungumza asogee mbele asemee”.
Baada ya hapo mwenyekiti Freeman Mbowe akawaambia wajumbe “nadhani dada zangu wameona hawana kitu cha kuongea na wajumbe wa baraza kuu, mheshimiwa katibu mkuu, sasa nikuombee tuendelee na taratibu za kitaasisi, tusikilize rufaa zao na tufikie maamuzi” Wajumbe wa
Kwani we ni mod?Kwanin usiqnzishe mada kuwahusu hao unaowazungumzia
Mbowe anahuruma sn asee“Nilikwenda Nairobi, nikamuita Halima Mdee, akasafiri na Ester Bulaya. Nimekuwa nao siku 7 nikimshawishi Halima anieleze nini kilitokea, aligoma. Nikamuomba aache huo ubunge, nimemtafutia kazi Nairobi na RSA na atalipwa US$15,000 (Shs. 34.9M), Halima akagoma”.
“Halima ananiuma kwa sababu nyingi. Halima nimemtoa chuo kikuu akiwa msichana. Nimempika kwa gharama sana. Ndiyo maana nilitumia juhudi zangu zote hata kuwaita wazazi wake, wamshawishi aachane na ubunge wa damu wa Magufuli, anaharibu career yake, hakunielewa”.
“Nairobi nilipowaita Halima na Bulaya nilikuwa nakutana nao kila siku. Tunakula na kunywa pamoja. Nikimbembeleza Halima aachane na ubunge wa damu, mtetezi ni Magufuli, hayupo. Nikamuomba anieleze nini kilitokea, Hawakuwahi kunieleza hadi naondoka kwenda Dubai”.
“Kama haya nayoeleza hapa kuhusu Halima nadanganya, Halima yupo hapa asimame na aseme kama ni uongo. Akanushe kuwa sikumtafutia kazi NRB na RSA alipwe Shs. 34.9M, au kama sikuzungumza na wazazi wake, au sikumuita NRB kumshawishi aachane na ubunge wa Magufuli”.
“Siyo kazi rahisi kufukuza wanawake 19 ambao umewajenga kwa gharama, wapo wote mbele ya baraza kuu, nitawaomba sasa dada zangu hawa, aliye na jambo la kuzungumza asogee mbele asemee”.
Baada ya hapo mwenyekiti Freeman Mbowe akawaambia wajumbe “nadhani dada zangu wameona hawana kitu cha kuongea na wajumbe wa baraza kuu, mheshimiwa katibu mkuu, sasa nikuombee tuendelee na taratibu za kitaasisi, tusikilize rufaa zao na tufikie maamuzi” Wajumbe wakapiga kura!