Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 35,826
- 47,147
Kupotea sio rahisi, waende Act au wasubiri usajili wa Umma party.Halima na Genge lake la wahuni 18 washapotea kwenye Siasa!! Waanzishe chama chao cha wasaliti.
Kupotea sio rahisi, waende Act au wasubiri usajili wa Umma party.Halima na Genge lake la wahuni 18 washapotea kwenye Siasa!! Waanzishe chama chao cha wasaliti.
Kwanini asitajwe wakati yeye na utawala wake ndio wamesababisha hii kadhiaHivi Hawezi Kuendelea na Mambo Yao Bila Kumtaja Magufuli?
.
Imefika Wakati Sasa wale wenye chuki na Mzee Basi inatosha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni mkuu wa Mashetani. Yaani Lucifer Mkuu.angekuwepo hayati mpendwa baba yetu makufuli yote haya yasingetokea jpm sasa hivi anakaa na yesu mbinguni
Mbowe siasa anaiweza snYaani ukweli sijawahi kuona kiongozi mwenye Busara kama Mbowe. Yaani kumbe nyuma ya pazia alifanya jitihada Sana kuwarudisha. Inaelekea walipewa pesa nyingi Sana na ahadi kibao pia nahisi walisaini mkataba wa kuwatisha wakijiuzulu au kukimbia nchi. Kweli pesa ina nguvu. Yaani Halima akakubali kupoteza sifa na nguvu kubwa ya Kisiasa aliyoipata kupitia Chadema? Poleni Sana CHADEMA. Ila malipo ni hapa hapa duniani.
😂😂 mkiambiwa msome mpate vyeti halali mnaleta ujanjaujanja wakipumbavu.Ni mkuu wa Mashetani. Yaani Lucifer Mkuu.