DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,635
- 81,535
Sema sisi wabongo tunapenda hela za bure Sana.
You are smart.Ukiwajibu na ukawatumia screenshot za hizo hotel wanakupa kama elf 5 kisha wanatoa task kama 3 au 5 hivi unakuwa umekusanya kama elfu 30 hiv kisha wanakwambia uchague sijui maherufi A, B, C hadi D kila moja ina bei yake kisha wanakutumia number ya kuweke hiyo hela then wakutumie ile 30 yako na bonas yaani hela unayopaswa kuweka inaweza kuwa laki 1 au 2 kisha wakupe la 1 na nus au 2 na nusu jumlisha ile 30 yako. Kwa wajanja wakifika hapo wanawakataa.
Ukiwajibu na ukawatumia screenshot za hizo hotel wanakupa kama elf 5 kisha wanatoa task kama 3 au 5 hivi unakuwa umekusanya kama elfu 30 hiv kisha wanakwambia uchague sijui maherufi A, B, C hadi D kila moja ina bei yake kisha wanakutumia number ya kuweke hiyo hela then wakutumie ile 30 yako na bonas yaani hela unayopaswa kuweka inaweza kuwa laki 1 au 2 kisha wakupe la 1 na nus au 2 na nusu jumlisha ile 30 yako. Kwa wajanja wakifika hapo wanawakataa.



nimecheka sana, ivi Kwa akili ya kawaida tu mtu umekula hio 30 afu anataka umtumie kilo daaah ujinga mwingine bn
daaahYaani hawa wanatuona watu wajinga sananimecheka sana, ivi Kwa akili ya kawaida tu mtu umekula hio 30 afu anataka umtumie kilo daaah ujinga mwingine bn
daaah
West Afrika hao israel hawana time na utapeliMm muda huu nimetextiwa na waisrael wa company wa IT mpaka sa sa sijawajibu...
Wanasema wanataka kunipa mchongo wa pesa😂😂😂
Biashara inalipa sana hii kwenye watu 10 lazima wawili wajichanganyeMe niliwahi kula 35k zao.
Na juzi Jmosi wakaleta za uso nikala 5k nikalala mbele.
+972West Afrika hao israel hawana time na utapeli
Watu wa west wanasafiri lengo kubwa ni kufanya utapeli+972
Hii code ndio imenitext soon nta screen short..
Hatare sanaaWatu wa west wanasafiri lengo kubwa ni kufanya utapeli