Hatimaye Martin Chegere awa Profesa wa Uchumi

Hatimaye Martin Chegere awa Profesa wa Uchumi

Kuweka records sawa Amekua Associate Professor .
 
So what? Profesa mbona ni mwalimu tu wa daraja la juu !!

Usijipe matumaini makubwa kujisikia unaitwa Profesa. Wewe ni mwalimu sawa na wa Ndumbwi Primary au Ulongoni Secondary school, ila wewe mahali pako pa kazi ni Chuo Kikuu cha Dar
Hahaha, kitu cha Ndumbwi ausio
 
cha ajabu mkuu wa chuo hana hata masters maana yake hata maana ya research au achilia mbali publications haijui, hii nchi bhana …
Cheo cha ukuu wa chuo ni ceremonial/symbolic. Kinahitaji mtu mashughuli na si mwanataaluma wa kielimu.
 
Nimepima tu upeo wa akili yako,huna tofauti na kuku ,wewe ni mjinga na mpumbafu kama Samuya
Ulivyo msukule wa tonetone, unapima upeo wa watu kutumia division za form four...sikufahamu lakn nina wasi wasi na wewe..
-mm nimeishia darasa la kwanza "c", vp wewe wa div i point 7?
 
Unataka a support mauaji?. Watanzania tunajidai tuna Roho mbaya.
Hivi huwa mnawazaje?
Mtu asiposhabikia simba, basi mnahisi ni mwanayanga.
Mtu asipokuwa chadema, basi ni mwana CCM.
Usipomsikia amekemea mauaji, basi ana support mauaji.

To me that is a very poor line of reasoning. You guys need to improve your game of reasoning.
 
Wacha kusiafia wanaume wenzako, utaolewa kijana.
Mm sina sera ya kimsukule ya pinga pinga kila kitu

-namfahamu chegere vizuri sana na alikuwa best student wa uchumi mwaka 2010 udsm, ana uwezo na ana weza
Hvyo anastahili kupongezwa kwa mafanikio...hata kama na wewe ni phd holder (kwa kusoma) utapongezwa maana si kazi nyepesi!
 
Back
Top Bottom