MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,235
hatimaye lawrence masha amechiwa kutoka gerezani baada ya jana kuwa amekosa dhamana
pale mahakam ya kisutu ,hali iliyopelekea yeye na wenzake kurudishwa rumande...
Lakini mchana huu (wa tare 26-08-2015) hatimaye ameweza kutolewa nje kwa dhamana na kusubilia mashtaka yake.
Ukiwa chadema lazima uonje jela kwanza, hiyo ndio moja ya vigezo vya kupata uongozi chadema
Mandela alikaa ndani miaka 27...!!!Poa tu sikilizeni mziki wake sasa! Wapumbavu tu nyie na hilo genge lenu
Mbona nilisikia kahamia ACT au nilisikia vibaya.