hatimaye KKKT wabadili jina!

hatimaye KKKT wabadili jina!

Ms Judith

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
2,563
Reaction score
932
kufuatia hatua ya kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania kubariki huduma ya uponyaji inayoendelea kufanywa na mmoja wa wachungaji wake wastaafu mch. ambilikile mwasapile baada ya kuoteshwa na mungu huko loliondo. kanisa la kkkt limeamua kubadili jina lake na sasa litajulikana rasmi kama Kunywa Kikombe Kimoja Tu (KKKT)(haki zote zimehifabdiwa kwa Prof. kasambanda)
 
Du!! Lini hayo mabadiliko yamefanyika?
 
Dah,we mdada nimekukubali kwa ubunifu.very creative
 
kufuatia hatua ya kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania kubariki huduma ya uponyaji inayoendelea kufanywa na mmoja wa wachungaji wake wastaafu mch. ambilikile mwasapile baada ya kuoteshwa na mungu huko loliondo. kanisa la kkkt limeamua kubadili jina lake na sasa litajulikana rasmi kama Kunywa Kikombe Kimoja Tu (KKKT)(haki zote zimehifabdiwa kwa Prof. kasambanda)
Under normal circumstance I have a high respect to Miss Judith,.... but with straight face i say this thread is CHILDISH!
 
kufuatia hatua ya kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania kubariki huduma ya uponyaji inayoendelea kufanywa na mmoja wa wachungaji wake wastaafu mch. ambilikile mwasapile baada ya kuoteshwa na mungu huko loliondo. kanisa la kkkt limeamua kubadili jina lake na sasa litajulikana rasmi kama Kunywa Kikombe Kimoja Tu (KKKT)(haki zote zimehifabdiwa kwa Prof. kasambanda)

Mwana dada, hongera kwa ubunifu, lakini tuambie, habari hii ililenga kuelimisha au kudhalilisha? Mambo ya kidini si vema sana kuyaweka kwenye utani wa hivi. Ni uamuzi wako lakini nadhani busara haikupata nafasi kwenye hili!
 
kufuatia hatua ya kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania kubariki huduma ya uponyaji inayoendelea kufanywa na mmoja wa wachungaji wake wastaafu mch. ambilikile mwasapile baada ya kuoteshwa na mungu huko loliondo. kanisa la kkkt limeamua kubadili jina lake na sasa litajulikana rasmi kama Kunywa Kikombe Kimoja Tu (KKKT)(haki zote zimehifabdiwa kwa Prof. kasambanda)

So ulitaka viwe viwili . Kumbe ndo maana mod wanapotezea thread zako. teh teh teh jokes nyingine bwana
 
Under normal circumstance I have a high respect to Miss Judith,.... but with straight face i say this thread is CHILDISH!

Iko kwenye thread ya Jokes, if you cant control yourself, STOP visiting Jokes thread!!
 
So ulitaka viwe viwili . Kumbe ndo maana mod wanapotezea thread zako. teh teh teh jokes nyingine bwana

hahah, bahati yako ume-edit, siku nyingine uwe unazingatia jukwaa kabla ya kutoa comment!
 
Back
Top Bottom