Lissu wa EFF hajawahi kuwa kuwadi wa mabeberu na ushoga na kufitinisha taifa lake.Tunapokea pongezi za Malema ambaye ni kiongozi wa chama maarufu cha upinzani cha Economic Freedom Fighters EFF. Malema ndiye Lissu w Afrika Kusini. Huku Lissu wetu tumemvua mpaka ubunge na kumtelekeza huko nje akihudumiwa na mabeberu.
Nadhani uliahidiwa 10% ndio maana unaipigia debe , sie watanzania hatutaki bandari inayowafaidisha wachina watanzania tunalala njaa, kama unawataka hao wachina wape eneo nyumbani kwako wafanye hivyo, lakini sio huko Bagamoyo.The young man is misinformed au na yeye yuko kazini kuhujumu mradi kwa kumsifia Jiwe ili asifanye mradi ambao ungezaa bandari kubwa kuliko bandari zote zilizoko ukanda wa bahari ya hindi ikiwemo ya Durban nchini mwao
Mtu kama wewe sina mda wa kueleza chochote kutokana na uliyoandika hapa. Uko ngazi ya chini sana.tueleze wewe labda unayoyajua kwa sana kuliko hao uliowataja..wenzano wanaona aibu kutamka uongo juu ya Magufuli..wanaogopa kusutwa na wananchi wakati wa kampeni..majimboni mwao..unafanya mchezo.nini..watu wapo strategically..hawakurupuki kama wewe jomba
Kwahiyo Zitto yupo karibu na nani?Malema anamsanifu tu Magufuli, maana Zitto Ni mtu wake wa karibu sana
Yote?Tunaoishi Tanzania tunamfahamu na tunayafahamu anayoyafanya kuliko mtu mwingine yeyote. Ni aheri maneno hayo yangetoka kwa Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania maana huyo anaona mema na mabaya yote yanayotokea nchini mwetu.
Asilimia 78 ya Ardhi ya Afrika
Hii ni Mara ya kwanza kwa kiongozi machachari na kijana wa Afrika Kusini, Julius Malema kutia neno lolote kuhusu rais Magufuli.
Kwa muda mrefu amekuwa akifuatilia siasa za ukanda huu wa Afrika Mashariki na mara nyingi amekuwa akimkosoa sana rais wa Uganda, Yoweri Museveni na kumuunga mkono Bobi Wine, lakini hajawahi kushughulika sana na siasa za Tanzania.
Uvumilivu umemshinda baada ya kusikia mengi, hasa kitendo cha Magufuli kukataa masharti ya wachina katika mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.
Katika "account" yake ya Twitter, amempongeza Magufuli kwa uamuzi wake huo. Hongera sana Magufuli.
Hii yote ni kwa juhudi za JPM,Hongera sana Malema kwa kumpongeza JPM....Hii itatusaidia sana Uchumi wetu Kukua.
Hivi malema na yeye ana PhD
Uchumi wetu utakua kwa pongezi za Malema kwa JPM au uliimaanisha nini?Hii yote ni kwa juhudi za JPM,Hongera sana Malema kwa kumpongeza JPM....Hii itatusaidia sana Uchumi wetu Kukua.
Discipline makazini piaKitu kimoja ninachoweza kukubaliana na Magufuli ni kukataa masharti ya mkataba wa Bandari ya Bagamoyo.
Hii ni Mara ya kwanza kwa kiongozi machachari na kijana wa Afrika Kusini, Julius Malema kutia neno lolote kuhusu rais Magufuli.
Kwa muda mrefu amekuwa akifuatilia siasa za ukanda huu wa Afrika Mashariki na mara nyingi amekuwa akimkosoa sana rais wa Uganda, Yoweri Museveni na kumuunga mkono Bobi Wine, lakini hajawahi kushughulika sana na siasa za Tanzania.
Uvumilivu umemshinda baada ya kusikia mengi, hasa kitendo cha Magufuli kukataa masharti ya wachina katika mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.
Katika "account" yake ya Twitter, amempongeza Magufuli kwa uamuzi wake huo. Hongera sana Magufuli.
Mwami kashachemka siasa zimemuacha tenge, Sasa hivi atafute chuo kikuu akafundishe tu!Malema anamsanifu tu Magufuli, maana Zitto Ni mtu wake wa karibu sana
tatizo hupendi. kusikia mawazo tofauti jomba, utakufa na kihoro, ukweli ni ukweli tuu hata ufanyeje..hahahah ngazi ya chini ndio ipi..basi wewe wa ngazi ya juu ungetoka humu utuachie sisi jonba..tafuta kwingineMtu kama wewe sina mda wa kueleza chochote kutokana na uliyoandika hapa. Uko ngazi ya chini sana.