Hatimaye Julius Malema atia neno kuhusu Magufuli

He is South African na maslah ya nchi yake ni muhimu pia. Bandari za SA hutumiwa na nchi jirani hivo ujenzi na upanuzi wa bandari uoande huu wa EA hasa Tanzania unaweza kuounguza utegemezi wa bandari za SA . Siasa nayo ni uvhumi kuna pongezi nyengine za kukudhoofisha.
 
Tunapokea pongezi za Malema ambaye ni kiongozi wa chama maarufu cha upinzani cha Economic Freedom Fighters EFF. Malema ndiye Lissu w Afrika Kusini. Huku Lissu wetu tumemvua mpaka ubunge na kumtelekeza huko nje akihudumiwa na mabeberu.
Lissu wa EFF hajawahi kuwa kuwadi wa mabeberu na ushoga na kufitinisha taifa lake.
 
The young man is misinformed au na yeye yuko kazini kuhujumu mradi kwa kumsifia Jiwe ili asifanye mradi ambao ungezaa bandari kubwa kuliko bandari zote zilizoko ukanda wa bahari ya hindi ikiwemo ya Durban nchini mwao
Nadhani uliahidiwa 10% ndio maana unaipigia debe , sie watanzania hatutaki bandari inayowafaidisha wachina watanzania tunalala njaa, kama unawataka hao wachina wape eneo nyumbani kwako wafanye hivyo, lakini sio huko Bagamoyo.
 
tueleze wewe labda unayoyajua kwa sana kuliko hao uliowataja..wenzano wanaona aibu kutamka uongo juu ya Magufuli..wanaogopa kusutwa na wananchi wakati wa kampeni..majimboni mwao..unafanya mchezo.nini..watu wapo strategically..hawakurupuki kama wewe jomba
Mtu kama wewe sina mda wa kueleza chochote kutokana na uliyoandika hapa. Uko ngazi ya chini sana.
 
Tunaoishi Tanzania tunamfahamu na tunayafahamu anayoyafanya kuliko mtu mwingine yeyote. Ni aheri maneno hayo yangetoka kwa Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania maana huyo anaona mema na mabaya yote yanayotokea nchini mwetu.
Yote?
 


Hii ni Mara ya kwanza kwa kiongozi machachari na kijana wa Afrika Kusini, Julius Malema kutia neno lolote kuhusu rais Magufuli.

Kwa muda mrefu amekuwa akifuatilia siasa za ukanda huu wa Afrika Mashariki na mara nyingi amekuwa akimkosoa sana rais wa Uganda, Yoweri Museveni na kumuunga mkono Bobi Wine, lakini hajawahi kushughulika sana na siasa za Tanzania.

Uvumilivu umemshinda baada ya kusikia mengi, hasa kitendo cha Magufuli kukataa masharti ya wachina katika mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.

Katika "account" yake ya Twitter, amempongeza Magufuli kwa uamuzi wake huo. Hongera sana Magufuli.

Asilimia 78 ya Ardhi ya Afrika
Kusini inamilikiwa na wazungu. Anafanya nini kuhusu hilo?

Au ndiyo ndugu zetu katika "imani"?

Hapo sasa!
 
Tumefikia wakati hadi wa kumpongeza mpongezaji ? Sio mbaya kusema mazuri yanayofanyika ila issue ni pale mijadala yote inakuwa ni kupongeza na kupongezana....tukiendelea hivi tutasahau hata kufanya yale yanayotakiwa kufanyika ili tupongezwe...
 


Hii ni Mara ya kwanza kwa kiongozi machachari na kijana wa Afrika Kusini, Julius Malema kutia neno lolote kuhusu rais Magufuli.

Kwa muda mrefu amekuwa akifuatilia siasa za ukanda huu wa Afrika Mashariki na mara nyingi amekuwa akimkosoa sana rais wa Uganda, Yoweri Museveni na kumuunga mkono Bobi Wine, lakini hajawahi kushughulika sana na siasa za Tanzania.

Uvumilivu umemshinda baada ya kusikia mengi, hasa kitendo cha Magufuli kukataa masharti ya wachina katika mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.

Katika "account" yake ya Twitter, amempongeza Magufuli kwa uamuzi wake huo. Hongera sana Magufuli.


Namkubali Malema!

Ila ni clueless motherfvcker about this!
 
Mtu kama wewe sina mda wa kueleza chochote kutokana na uliyoandika hapa. Uko ngazi ya chini sana.
tatizo hupendi. kusikia mawazo tofauti jomba, utakufa na kihoro, ukweli ni ukweli tuu hata ufanyeje..hahahah ngazi ya chini ndio ipi..basi wewe wa ngazi ya juu ungetoka humu utuachie sisi jonba..tafuta kwingine
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom