Hatimaye Joseph Kabila akubali kung'atuka madarakani

Hatimaye Joseph Kabila akubali kung'atuka madarakani

Jean pierre bemba ndio rais mpya wa congo . Ogopa sana mmarekani . Akiamua nani awe rais ndio huyo atakuwa . Huyu jamaa alikuwa na mashtaka ICC ila kafutiwa mashtaka na amesharudishwa congo tayari kuandaliwa. Yajayo yanafurahisha
Tumuombe Trump aje na huku bongo basi
 
Mark my words bro . Rais wa Congo ajaye ni jean pierre bemba. Na sio huko tuu watamweka mtu wao sehemu mbali mbali watakapo pataka wao. Yajayo yanafurahisha
Ina maana hata hapa tuliwekewa???
 
Mark my words bro . Rais wa Congo ajaye ni jean pierre bemba. Na sio huko tuu watamweka mtu wao sehemu mbali mbali watakapo pataka wao. Yajayo yanafurahisha
Inawezekana hata figisu alizowekewa Katumbi zikawa ni mkono wao
 
inaonekana imesahau au hamjui historia,Kabila siyo mara yake ya kwanza kusema hivyo.subirini hiyo desember au january kabisa ndio mtoe pongezi.
Mkuu wacha kuweweseka leo ndiyo ulikuwa mwisho wa kurudisha form na chama chake wame mteua somebody Ramadhan
 
Mark my words bro . Rais wa Congo ajaye ni jean pierre bemba. Na sio huko tuu watamweka mtu wao sehemu mbali mbali watakapo pataka wao. Yajayo yanafurahisha
Tumuombee maisha marefu Trump
 
Mkuu wacha kuweweseka leo ndiyo ulikuwa mwisho wa kurudisha form na chama chake wame mteua somebody Ramadhan
hahaa kwani hawezi kusogeza uchaguzi mpaka 2020 au tarehe isiyojulikana. katika hili me ni tomaso,tusubiri muda utuambie wenyewe.
 
Back
Top Bottom