white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
kocha wa real madrid jose amekili kuwa barca ni noma! baada ya kupata kipigo cha mabao 3-2,ktk mechi ya marudiano ya super cup.Japo madrid waliendeleza ule ubabe wao wa kiatu mtu;MESI bado anaendelea kuwatesa kwani zikiwa zimebaki dk kama tano mpira kwisha akapiga bao hilo kweli mesi noma.Angalau na FABRIGAS ameanza kushika makombe ambayo kwake ulikuwa msamiati.upende usipende hawa barca ni noma jamani.