Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kuna wakili mmoja kanieleza kwamba kumetokea amri kadha za mahakama kuu ya Bara kuhusu mashauri yaliyoibuka huko Zenj. Akiniletea details za mashauri haya nitayamwaga hapa JF.
Huyu jamaa anako ka blog kake ambako kanatembelewa na yeye peke yake. Huko ndiko anakofanyia kazi ya uandishi!Hata mie nimeshangaa kusoma kuwa Malaria Sugu ni mwandishi wa habari! Duh! Kama ni kweli iko kazi. Natamani kufahamu ni chombo gani cha habari anakiwakilisha.
anaweza akajirekebisha...kama atajirudi ni vyema CDM wakampokea
Hamad aelekee CCK tu!!!Hakika chadema pekee ndio chama kinachomfaa mtu mwenye uchungu wa kweli wa kutetea wananchi,Tumuache maalim seif aendelee na siasa zake za kibaguzi Cuf,najua tatizo kuu ndani ya chama hicho wanataka mtu mwenye rangi kama Ismail Jusa ndio aw katibu mkuu na aende ikulu.Achana nao hao karibu kambini tuwasambaratishe ukija huku 80% uhakika kurudisha jimbo mikononi mwako
Hamad hafai hafai kwa lolote lile aishie huko huko CUF this time he found his equal, kwanini mnamlazimishie Chadema? kwani ni lazima awe na chama?Nani kakuambia cdm wanataka mamluki?
Ahsantum kwa taarifa.
Hakika alipewa kamba ya kutosha sana ili ajimalize mwenyewe. Na sasa amejimaliza.
Kumbuka kuwa kuna wengi walitimuliwa kuanzia Mapalala, Naila Jidawi na akina Msabaha. Na wote sasa mnawaona wakoje na wanaishi vipi na hishma yao kwa jamii hususan ya kizanzibari ikoje?
Namsikitikia sana Mh Hamad rashid na kumpa pole, choyo na kiu ya madaraka imemponza.
Nini uhusia kati ya Mlaria Sugu na FaizaFoxy? Mtu mmoja au mtu na mkewe?
Sawa hawa ni wanachama wa CUF Zanzibar - Je, huko bara umekutazama?... Yaani sasa hivi kila mwanaCUF kahamia CCM kwa taarifa yako CUF bara kwisheny...Tatizo lenu mnasahau kwamba kuna Wazanzibara pia yale yale ya Nyerere!..."MS alikuwepo Zanzibar. kama Mwandishi wa habari, akishuhudia Hamad Rashid akifurushwa"
Jana Jioni nilikuwa Jos kona Ngome kuu ya Cuf iliopo Soko Muhogo Baada Ali Salehe kuripoti kupitia BBC, washabiki wa CUF
walipiga mayoe kwa furaha, yaani ukiwahoji ni wazi wamemchoka Hamad Rashid.
Saa 1:00 jioni. Mtaa wa Mtendeni, makao makuu ya CUF. cuf haikuzaliwa Arusha. moshi, Tabora. Imezaliwa Malindi na kama kufa itafia malindi, hamad Rashid ziiiiiiiiiii
Saa 2:30 usiku nilipofika maskani ya CUF Jangombe gengeni, mazungumzo Hamad Rashid kesha, akachume karafuu Pemba. hali ni shwari.
Saa 3:00 Usiku. Ngome nyengine ya CUF Jangombe kwa maharuki anapotoka mmoja wa vijana waliofukuzwa yaani Saanani. maneno ni hayo hayo. Aende tu Chadema. acheze na Ndevu za Seif asicheze na akili ya Seif(Maalim seif)
Leo saa2:00 asubuhi. daraja bovu,Ofisi ndogo ya CUF . Hamad rashidi ni m-mboya tu, akatafute Ubunge Moshi. hapa nooo.
Magomeni ngome ya CUF:matangazo yao" Hamad rashid kavuna alichopanda. aanzishe chama Chake, yeye na familia yake"
Vituo vya Magazeti.
Yakheeeeee, kakie hamad umemsikia? eti anataka kuwa mbunge wa Mahakama. kanchoka tena.
Hivi MS ni mwandishi wa habari??
hizo habari unazoleta na kuziandika zina typing error kibao wanaosoma habari zako wana roho ya Paka...
dah mpaka uvivu kuisoma, hebu ipange vizuri mkuu