Hatimaye dua la wauzaji wa magazeti lasikikika

Jan 13, 2017
67
49
Ni katika uwanja wa Aman pale Zanzibar hatimaye maombi ya wauza magazeti wa Tanzania (Yanga) kuomba Simba ifungwe ili magazeti yao yaweze kuuzika dua hilo lilifanikiwa hapo jana ........Kwa taaaaaabu sana Mnyama Simba kakubali kuwaachia walau Azam nao washinde kikombe hicho cha Mapinduzi kwa goli moja tu ili iwe afadhari kwa wauza Ice cream hao maana msimu huu hawana chao. ....
Swali je Wauza magazeti, biashara Leo vipi ..?...au bora tungewafunga lamba lamba hapo jana. ..?
 
Tunawashukuru sana kwa upendo mliouonyesha hapo jana,hakika hatukuamini baada ya mpira kuisha na nyie kuondoka taratibu bila kung'oa hata jani uwanjani,wengi tulidhani jana zanzibar vitu vingi vingeng'olewa kuanzia uwanjani.
 
Tunawashukuru sana kwa upendo mliouonyesha hapo jana,hakika hatukuamini baada ya mpira kuisha na nyie kuondoka taratibu bila kung'oa hata jani uwanjani,wengi tulidhani jana zanzibar vitu vingi vingeng'olewa kuanzia uwanjani.
:):):) Ila kwa yebo yebo lazma achapike tu. ..
 
Tunawashukuru sana kwa upendo mliouonyesha hapo jana,hakika hatukuamini baada ya mpira kuisha na nyie kuondoka taratibu bila kung'oa hata jani uwanjani,wengi tulidhani jana zanzibar vitu vingi vingeng'olewa kuanzia uwanjani.
Uwanja wa amani una viti vya zege, hawakuwa na namna zaidi ya kuwa wapore tu.
 
Ni katika uwanja wa Aman pale Zanzibar hatimaye maombi ya wauza magazeti wa Tanzania (Yanga) kuomba Simba ifungwe ili magazeti yao yaweze kuuzika dua hilo lilifanikiwa hapo jana ........Kwa taaaaaabu sana Mnyama Simba kakubali kuwaachia walau Azam nao washinde kikombe hicho cha Mapinduzi kwa goli moja tu ili iwe afadhari kwa wauza Ice cream hao maana msimu huu hawana chao. ....
Swali je Wauza magazeti, biashara Leo vipi ..?...au bora tungewafunga lamba lamba hapo jana. ..?
IMG_20170114_050152.jpg


Hili ni gazeti la serikali haliandiki uchochezi bali kweli tupu.
 
Ni katika uwanja wa Aman pale Zanzibar hatimaye maombi ya wauza magazeti wa Tanzania (Yanga) kuomba Simba ifungwe ili magazeti yao yaweze kuuzika dua hilo lilifanikiwa hapo jana ........Kwa taaaaaabu sana Mnyama Simba kakubali kuwaachia walau Azam nao washinde kikombe hicho cha Mapinduzi kwa goli moja tu ili iwe afadhari kwa wauza Ice cream hao maana msimu huu hawana chao. ....
Swali je Wauza magazeti, biashara Leo vipi ..?...au bora tungewafunga lamba lamba hapo jana. ..?
Bado unapombe kichwan ww
 
Hongereni AZAM kwa ubingwa...sisi Simba SC ni wana michezo kwa hiyo tumekubali matokeo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom