Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,123
Muda c mrefu mtasikia yupo uswazi anapiga kazi tu... Hizo mi naona ni sarakasi tu .
Walianzaga Wakina mama terry,akaja Yule alikuwa na ofisi yake magomeni Jina nmemsahau,akaja baby wa loliondo,ukienda opposite na Hindu mandal Kuna jamaa wana kituo chao nao wanasema wanaponyeshaa watu....Hao dawa zao wanakuambiaa usiweke karibu ya tv ama radio....Haya Kuna Huyu rahabu,akaja Dr Mwaka .......Baada ya kupewa adhabu wenzake wakatii yeye kwa ujanja ujanja akabadili jina la kampuni kutokana Foreplan herbal clinic kuwa Foreplan (T) Limited na kuendelea kutoa huduma ileile, hilo ndilo kosa lake.
Unashauri apelekwe mahakamani lakini wanasiasa wetu hawaiamini mahakama ila mikutano ya hadhara na maandano!wampeleke mahakamani,kule ndo kila kitu siyo wamfiche chemba baadae tusikie mengine
Utagemea kujenga na kumiliki uchumi bila kuwa tapeli, serikali ya CCM imekuwa ikitapeli watanzania kwa miaka mingapi? Kila mahali ni shida, kila mmoja alikuwa anakula kulingana na ukubwa wa makucha yakeSafi sana.
Huyo jamaa ni tapeli sana
Huenda umekutana na pacha wake! Mleta uzi anasema umeshikiliwa na polisi. Sasa inawezekanaje awe sehemu mbili kwa wakati mmoja!?Mbona nimekutanae pale ilala anakunywa chai, kawekwa sero ipi
walikuwa wanatafuta mimba na kawagegeda kinoumaDada zetu walikuwa wanafuata nini kwa mwaka, mimi nawashangaa dada zetu sio mwaka
Dr Rahabu ndio nani huyu, mbona mi simfahamuView attachment 379395jambazi mwingine huyu hapa anayejiita Dr. Rahabu Lubago, kawaliza wengi na majani ya mipapai eti anatibu vidonda vya tumbo!
Baada ya kupewa adhabu wenzake wakatii yeye kwa ujanja ujanja akabadili jina la kampuni kutokana Foreplan herbal clinic kuwa Foreplan (T) Limited na kuendelea kutoa huduma ileile, hilo ndilo kosa lake.
Vyombo vyetu vya usalama unavijua? Wanafungwa masikini tu, Mwaka ana pesa, kaenda kujisalimisha kaachiwa kuja kunywa chai. Pesa pesa mkuu, ukiwa pesa askari dhaifu.Huenda umekutana na pacha wake! Mleta uzi anasema umeshikiliwa na polisi. Sasa inawezekanaje awe sehemu mbili kwa wakati mmoja!?
Hahahaa eti hata wakimshika mkono tu wanazaa.Walikuwa wanafuata watoto, ujasikia mwaka anakwambia amenusuru ndoa nyingi, wamama wakimuona hata kumshika mkono tu wanazaa hapohapo
Hilo nalo ni la msingi zaidi maana linagusa afya za watu.Maigizo yanaendealea, wizara ya afya haina mambo ya msingi ya kushughulikia tofauti na suala la Mwaka?
Nchi hii imejaa wachumia tumbo wengi (wanasiasa, wahubiri, waganga, eachawi, tabibu, nk) kwa sababu ya upumbavu na ulofa wetu.View attachment 379395jambazi mwingine huyu hapa anayejiita Dr. Rahabu Lubago, kawaliza wengi na majani ya mipapai eti anatibu vidonda vya tumbo!
Kwani ukumsikie Mamvi wetu anakwambie elimu, elimu, elimu. Ina maana nchi wajinga hii, ukitaka kuvuna pesa Tanzania ni sehemu ya kuvuna maana wajinga ni wengi.Nchi hii imejaa wachumia tumbo wengi (wanasiasa, wahubiri, waganga, eachawi, tabibu, nk) kwa sababu ya upumbavu na ulofa wetu.
Elimu ipanuliwe na kuboreshwa kwenye nyaja zote, ili Watanzania waondokane na ujinga waweze kutumbua haki na wajibu wao.
Hakuna uhasama Kigwangallah anatimiza wajibu wake.Walianzaga Wakina mama terry,akaja Yule alikuwa na ofisi yake magomeni Jina nmemsahau,akaja baby wa loliondo,ukienda opposite na Hindu mandal Kuna jamaa wana kituo chao nao wanasema wanaponyeshaa watu....Hao dawa zao wanakuambiaa usiweke karibu ya tv ama radio....Haya Kuna Huyu rahabu,akaja Dr Mwaka .......
Mwaka na kigwagala ni uhasama tu....utakuwaa
Ni kweli Mwaka katengeneza hela sanaa kupitia tiba hizi lakini siku zote hawa sijui tuwaite wenye shida ambao wanakwenda huko ndiyo tatizo....
SAHIVI TUNASUBIRIA NANI ATAIBUKAAA BAADA YA DR MWAKA
Tunaweza kumwita nabii Mwaka, maana hatua ya kushikwa tu mkono mtu anazaa ni hatari hiyo...Hahahaa eti hata wakimshika mkono tu wanazaa.
Tatizo ni matatizo, mtu akiwa na afya awezi kwenda kwa hao watu. Matangazo mengi ili kuvutia wenye matatizo kuwafuata. Wanatumia matatizo ya watu kupatia utajiri. Wanasema kufa kufaana, ili mtengeneza majeneza apate chakula lazima aombe mtu kufa, kufa kwa mtu ni furaha kwa mtengeneza jeneza. Mwaka kiuhalisia ni Tapeli, lakini tapeli anayetumia akili nyingi. Maana akikupiga pesa za kutosha uwezi kwenda mahakamani kudai hiyo pesa au kusema Mwaka kanitapeli. Utaulizwa kwani alikufuata kwako? Jibu ni hapana ulikwenda mwenyewe na pesa ulitoa mwenyewe kama hukupona basi. Kiendacho kwa mganga akirudi.Walianzaga Wakina mama terry,akaja Yule alikuwa na ofisi yake magomeni Jina nmemsahau,akaja baby wa loliondo,ukienda opposite na Hindu mandal Kuna jamaa wana kituo chao nao wanasema wanaponyeshaa watu....Hao dawa zao wanakuambiaa usiweke karibu ya tv ama radio....Haya Kuna Huyu rahabu,akaja Dr Mwaka .......
Mwaka na kigwagala ni uhasama tu....utakuwaa
Ni kweli Mwaka katengeneza hela sanaa kupitia tiba hizi lakini siku zote hawa sijui tuwaite wenye shida ambao wanakwenda huko ndiyo tatizo....
SAHIVI TUNASUBIRIA NANI ATAIBUKAAA BAADA YA DR MWAKA
Nahisi kuna mashinikizo fulani katika mahakama zetu.Unashauri apelekwe mahakamani lakini wanasiasa wetu hawaiamini mahakama ila mikutano ya hadhara na maandano!