Hahahaaa hii filamu nzuri sana mwisho wa siku atashinda kesi na atalipwa fidia
Ndiyo pale inapodaiwa kuwa “UNASAKWA”na JESHI la polisi huku wewe unaendelea na shughuli zako kama kawaida bila hata kusikia kuwa kuna mtu amekuulizia!! Silly hunter hits around the bush!uku wamewema kajisalimisha na kesho atarudi kwa mahojiano.![]()
we hili linahusika vipi na wapinzani?sio kila kitu ni siasa ndugu yanguWapinzani pingeni sasa.
Soma uelewe, nimesema vigagula vyote Na matapeli wenzao....... Babu wa Loliondo hakuwa anaji market wala nini, huyu Ana ji marketi Na anatumia lugha za kilaghai Kama daktari aliehitimu mafunzo......Aanzeni na baby wa loliondooo,maana hata magu alienda kunywa kikombe