Mkuu watu wengi hawana ujuzi wa kutambua kuwa wanatapeliwa, na matapeli wengi wana akili sana husoma sikolojia ya watu anaowalenga.Mwaka amesaidia wengi sana mimi shuhuda, ajabu sijaona hata mmoja alielalamika kadhurika na tiba za mwaka, chuki ya kipato chake. Mbona babu wa loliondo hakamatwi au kuna ushahidi gani anatibu ukimwi? Kichaa cha serikali ni kushuhulika na mambo ambayo yanweza kujitatua na kuacha mabo ambayo ni lazima wayatatue. Kama dawa za mwaka zingekuwa fake asingepata wagonjwa jamani mbona hesabu rahisi tu?!. Embu washuhulike na mambo ya msingi., ikiwepo kugawa mashamba kwa vijana na si kuwahimiza walime wakati wengi hatuna mashamba, tulime lami?!
Ni kweli sipingani na wewe. Ila tukubaliane kuwa kuna majambazi basi wanapewa vibali na serikali vya kufanya ujambazi! Kwa sababu huyu jambazi alisajiliwa na mamlaka zinazotambulika serikalini. Sioni kosa lake, na zaidi ya hapo sehemu kubwa ya jamii ikakubali ujambazi wake. Au kuna uwezekano amevuka mipaka ya kufanya huo ujambazi wake kwa utaratibu wa kibali alichopewa ndio maana wanamkamata!?Jambazi ni jambazi tu hata kama halijakuibia wewe.
pole sana kwa kuamini kuwa wazungu ndio wako sahihi, samahani lakini ila pole sana.Mkuu watu wengi hawana ujuzi wa kutambua kuwa wanatapeliwa, na matapeli wengi wana akili sana husoma sikolojia ya watu anaowalenga.
Kuna matapeli wanaotumia dini, mabenki, hospitali nk. hata shule za kitapeli zipo, ndio maana kuna regulatory boards za ku monitor huduma hizo.
Mwaka yeye anatumia magonjwa ya akinamama ambayo ni mengi kutapeli. Haiingii akilini mtu hana kizazi completly ukamuwekea kizazi ni Mungu tu anayeweza hiyo kazi.
Eti mtu anatibu kansa wazungu wenyewe wameshachemsha zaidi ya kukatwa kiungo. Sasa Mwaka anadanganya kina dada masikini wasio na uelewa badala ya kuwashauri mgonjwa kuwahi kwenye vipimo vya kisasa yeye anampa dozi aweke kwenye dumu la simtank lt 500 atumie mwaka mzima, matokeo yake anajikuta kansa imekuwa sugu na kuishia kukatwa matiti yake.
Mtu pekee wa kuwasaidia kinadada kama hao ni kupitia wizara ya Afya tu.
Babu wa Loliondo alisomea wapi mkuu? Mbona serikali yote ilihamia huko kunywa kikombe?Afya ya binadamu sio ya kuchezea ,Mwaka aende shule miaka 5 akasome kama ana credit asilete mzaha
Labda ungefafanua hayo "mashinikizo fulani katika mahakama" kama siyo hisia tu!Nahisi kuna mashinikizo fulani katika mahakama zetu.
Nimekumbuka kilichotokea kwa Dr.Masao bingwa wa Magonjwa ya moyo na hospital yake aliyofungua wenye chuki binafsi wakamfrustrate to death!Jeshi la polisi limefanikiwa kumtia nguvuni tabibu Juma Mwaka, maarufu Kama Dokta Mwaka, baada ya kumsaka Kwa siku kadhaa bila mafanikio.
Polisi yasema mmiliki wa Foreplan Clinic tabibu Juma Mwaka amejisalimisha Kituo Kikuu cha Polisi Dar leo, atakiwa kurudi kesho kwa mahojiano.
Jeshi la polisi linatekeleza agizo la Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuwa tabibu huyo mashuhuri akamatwe Kwa kukiuka agizo la Serikali la kuacha kutoa huduma za tiba asili na tiba mbadala baada ya kufutiwa kibali na Baraza la tiba asili na tiba mbadala, ambao walimkuta na hatia ya kukiuka masharti ya sheria ya tiba asili na tiba mbadala ya Mwaka 2002, sheria namba 23, ulaghai wa kujiita dokta na kujifanya amesomea tiba ya kisasa kumbe la, kukutwa na shehena ya dawa za kisasa zaidi ya boksi 200 bila vibali vya mamlaka ya chakula na dawa, TFDA na kukutwa na shehena ya dawa za tiba asili na tiba mbadala kinyume cha sheria, haswa baada ya kufutiwa usajili wa kutoa huduma hizo.
Tabibu Mwaka alikuwa Polisi Kwa mahojiano katika kituo cha kati.
Mbona Mhe uyo alihojiwa akasema amepona vidonda vya tumbo kwa izo dawa.View attachment 379395jambazi mwingine huyu hapa anayejiita Dr. Rahabu Lubago, kawaliza wengi na majani ya mipapai eti anatibu vidonda vya tumbo!
Pole na wewe kwa kuamini Mwaka atakurudishia kizazi.pole sana kwa kuamini kuwa wazungu ndio wako sahihi, samahani lakini ila pole sana.
Kama kaoteshwa na zinatibu kuna shida gani? Hizo ambazo ziko scientific na hazitibu zina faida gani? Mbona hata ugali mtu alioteshwa tu akaupika na haujawahi kumdhuru mtu? Acheni kuamini sna uzungu hata wao pia wanaoteshwa ndio wanaingia maabara.Vitu vyetu vingi tunavyotumia haviko scientific proved sawa na dawa za Mwaka hazina research yeyote, ukimuuza alizigungundua vipi sana sana atakuambia alioteshwa.
Kama kaoteshwa na zinatibu kuna shida gani? Hizo ambazo ziko scientific na hazitibu zina faida gani? Mbona hata ugali mtu alioteshwa tu akaupika na haujawahi kumdhuru mtu? Acheni kuamini sna uzungu hata wao pia wanaoteshwa ndio wanaingia maabara.Vitu vyetu vingi tunavyotumia haviko scientific proved sawa na dawa za Mwaka hazina research yeyote, ukimuuza alizigungundua vipi sana sana atakuambia alioteshwa.
Kwani babu wa Loliondo alikuwa anatumia Ultrasound kutibu?Babu wa Loliondo alisomea wapi mkuu? Mbona serikali yote ilihamia huko kunywa kikombe?
Achana na mambo ya ujima tuko kwenye electronic era mkuu.Kama kaoteshwa na zinatibu kuna shida gani? Hizo ambazo ziko scientific na hazitibu zina faida gani? Mbona hata ugali mtu alioteshwa tu akaupika na haujawahi kumdhuru mtu? Acheni kuamini sna uzungu hata wao pia wanaoteshwa ndio wanaingia maabara.
Hizo electronic era zingesaidia watu wasingefurika kwa mwaka, atapiga sana hela, atatibu sana bila hata ya kuwa na hospital. huko mahospital maleria tu imewashndia, itakuwa haya makubwa atibuyo mwaka?! Kalagabaho kumuacha babu wa loliondo alietangaza kuponya ukimwi na hawakupona kuhangaika na mwaka anaetangaza kuponesha na watu wakapona. Kupanga ni kuchagua, na hapa kigwa kachagua galasa kupambana na mwaka.Achana na mambo ya ujima tuko kwenye electronic era.
Mungu pekee ndiye anajua nchi hii inaelekea wapi!!
Mungu ni mkuu sana hatotuacha tutumbukie shimoni..
Tukeshe tukiomba before things get out of hand.!!!
![]()
![]()
Tujadili tu lakini serikali imeshatimiza wajibu wake kafungiwa, kama anajipenda a comply na kanuni na taratibu za utabibu. Mengine tunafurahisha baraza.Hizo electronic era zingesaidia watu wasingefurika kwa mwaka, atapiga sana hela, atatibu sana bila hata ya kuwa na hospital. huko mahospital maleria tu imewashndia, itakuwa haya makubwa atibuyo mwaka?! Kalagabaho kumuacha babu wa loliondo alietangaza kuponya ukimwi na hawakupona kuhangaika na mwaka anaetangaza kuponesha na watu wakapona. Kupanga ni kuchagua, na hapa kigwa kachagua galasa kupambana na mwaka.