Kijana mwenye uchungu na HII NCHI ni yule tu nitakaemsikia anasema 2020 SIPOTEZI MUDA WANGU KWENDA KUPIGA KURA YANI kijana wa namna hii wa jibu hilo namuonaga BONGE LA SHUJAAAA...ila vijana wanao amini ktk UPINZANI natamani nikutane na mmoja ni MZABUE MKOFI OLOMIDE akae sawa...maana upstairs anaonyesha hayuko SAWA.
Subiri utaelewa 2020Mi.hapo hata sijaelewa.
Ila wanajitoa bila kupingwa.Kwani Nassari nani alimpinga hadi akajitoa ubunge kwa kutokuhudhuria mikutano mitatu huku chadema wenzake na mwenyekiti wakitazama tu bila kumkumbusha wajibu wake kisheria?Sijawah kusikia mgombea wa upinzani kapita bila kupingwa
Kwani huyo nassari nani alimwambia aache ubunge? chadema hovyo kabisa. Yaani chadema mnaacha ubunge halafu mnataka uchaguzi.Sasa hapo chadema wanatakiwa wakue kwamba hzo mbinu zitashamiri sana 2020. Yaan wagombea wengi wataonekana hawana sifa za kugombea na ccm watapita bila kupingwa. NATABILI.......
EwaaaaTutatafuta njia kama ile ya Sudan kupata viongozi, hii ya kura ni kupoteza muda.
Technical mistakes mwaka 2020 zitakuwa nyingi sana, jambo litakalosababisha wapinzani wengi kupigwa chini na CCM kupita bila ya kupingwa majimbo mengi
hujaelewa nini?Mi.hapo hata sijaelewa.
Mbona hiyo iko wazi!!!!!! Pia wagombea wa upinzani majimbo ya Mbeya mjini na Arusha mjini watakosa sifa hivyo chama tawala kupita bila kupingwa!!!Haya ni maandalizi tu, 2020 utasikia Magufuli amepita bila kupingwa baada ya wagombea wote wa upinzani kukosa sifa.
Watakuwa wanasubiri kuokota dodo kwenye mwarobaini!!!!Na kuna watu wanasubiri 2020..
Bavicha mnasikitika wakati mlisusa?
Siyo siri, Nasari amekera sana!!!!! Haiwezekani ukaacha kuhudhuria vikao vyote hivyo vya bunge na bado ukajiona ni mwakilishi wa jimbo lako. Iwekwe sheria ya mbunge kuomba kibali cha wapiga kura wake kama ana udhuru wa kutokuhudhuria bunge!!!!Time ya kwetu. Hatuna haja ya kushangilia. Nasari kapoteza ubunge kizembe sana lakini