Kuna ujinga flani arsenal wamekuanao kwa miongo mingi sana. Huo umewagharimu leo
Huu mchezo wa kugonga gonga mpira hata sehemu ya kufunga, unakosesha magoli mengi sana. Shaka alikua na goli zuri la kusawazisha mapema
Mbaya zaidi kugongagonga golini kwetu, tumeangalia mpira roho juu juu mpaka mpira unaisha
Yani adui kapandisha timu, anakabia kwenye final third ya kwetu tena ni nje kidogo tu ya 18, lakini mpira unaanzishwa hapo hapo golini, wanaanza kupasiana pasiana, golini kabisa, unategemea nini.
Basi tu naipenda arsenal ntafanyaje