Hatimaye ana kwa ana na wapiga doria mitandaoni. Yapigwaje hiyo? Au ni hawa ndugu zetu wenye ID ishirini ishirini?

Hatimaye ana kwa ana na wapiga doria mitandaoni. Yapigwaje hiyo? Au ni hawa ndugu zetu wenye ID ishirini ishirini?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,776
Reaction score
46,050
Hivi ni nyie ndugu zetu wenye ID ishirini ishirini au wale wenye zile pendwa za msimu? Au ni wale wa Ngamiani waja leo waondoka leo? Au wale waja wenye zile ID pendwa zinazo staafu staafu kila ikiwapendeza?

Wako wapi kina Lisaboni, bia yenu, yumbe brown, au wale waliopotea ghafla?
Au tuseme wali-retire, kupotezwa au kutangulia au kutangulizwa mbele za haki?

"Nafanya kazi kwa DPP dawati la Doria mtandaoni. Na huwa napeleleza makosa yanayofanywa mitandaoni."

Looh!

Kwamba mnapiga jaramba mitandaoni? Au ndiyo wale kutwa mkiwaomba watu ili mpate ku wa PM?

Vipi wale kutwa mkitokea kama mademu kumbe chini mkiwa mmening'iniza mikuyenge?

Vipi wale kutwa mkibubujikwa machozi ya mamba?

Au vipi ninyi ndugu wakata switch kutokea Kitunda pale?

Au ninyi ni wale mliojipa au kupewa yale majina pendwa ya wale wadudu wachafu?

Kwamba tusiseme yetu ya moyoni? Kumbe twende "dare" semea wapi?

Kama ndivyo, zile kazi almaarufu za Lema na bodaboda, hazitakuwa hizo?
 
Hivi ni nyie ndugu zetu wenye ID ishirini ishirini au wale wenye zile pendwa za msimu, au ni wale ngamiani waja leo waondoka leo, au wale wenye zile ID zinazo staafu staafu kila ikiwapendeza?

Wako wapi kina Lisaboni, bia yenu, yumbe brown, au wale waliopotea ghafla
Au tuseme wali retire, kupotezwa au kutangulia au kutangulizwa mbele za haki?

"Nafanya kazi kwa DPP dawati la Doria mtandaoni. Na huwa napeleleza makosa yanayofanywa mitandaoni."

Looh!

Kwamba mnapiga jaramba mitandaoni? Au ndiyo wale kutwa mkiwaomba watu ili mpate ku wa PM?

Vipi wale kutwa mkitokea kama mademu kumbe chini mkiwa mmening'iniza mikuyenge?

Vipi wale kutwa mkibubujikwa machozi ya mamba?

Au ninyi ndiyo wale mkiitwa wazima switch?

Au ninyi ni wale mliojipa au kupewa majina ya wadudu wachafu?

Kwamba tusiseme yetu ya moyoni? Kumbe twende "dare" sema wapi?

Kama ndivyo, zile kazi almaarufu za Lema na bodaboda, hazitakuwa hizo?
Ukiona mtu anakuja na mada nzuri nzuri zenye kuvuta attention halafu mwisho anasema kama uko interested njoo PM, kuwa makini. Huko PM atalazimisha mbadilishane mawasiliano na mwisho wa siku muonane. Kuwa makini. Huko PM anatamani zaidi kujua exact location. Kuwa makini. Huko PM anakupa ramani za maisha sehemu fulani ambayo wenyeji ni choka mbaya (hasa kilimo). Kuwa makini zaidi
 
Ukiona mtu anakuja na mada nzuri nzuri zenye kuvuta attention halafu mwisho anasema kama uko interested njoo PM, kuwa makini. Huko PM atalazimisha mbadilishane mawasiliano na mwisho wa siku muonane. Kuwa makini. Huko PM anatamani zaidi kujua exact location. Kuwa makini. Huko PM anakupa ramani za maisha sehemu fulani ambayo wenyeji ni choka mbaya (hasa kilimo). Kuwa makini zaidi

Ni wahuni. Kataa wahuni. Wahuni si watu wazuri.
 
Hivi ni nyie ndugu zetu wenye ID ishirini ishirini au wale wenye zile pendwa za msimu? Au ni wale wa Ngamiani waja leo waondoka leo? Au wale wenye zile ID zinazo staafu staafu kila ikiwapendeza?

Wako wapi kina Lisaboni, bia yenu, yumbe brown, au wale waliopotea ghafla
Au tuseme wali retire, kupotezwa au kutangulia au kutangulizwa mbele za haki?

"Nafanya kazi kwa DPP dawati la Doria mtandaoni. Na huwa napeleleza makosa yanayofanywa mitandaoni."

Looh!

Kwamba mnapiga jaramba mitandaoni? Au ndiyo wale kutwa mkiwaomba watu ili mpate ku wa PM?

Vipi wale kutwa mkitokea kama mademu kumbe chini mkiwa mmening'iniza mikuyenge?

Vipi wale kutwa mkibubujikwa machozi ya mamba?

Au ninyi ndiyo wale mkiitwa wazima switch?

Au ninyi ni wale mliojipa au kupewa majina ya wadudu wachafu?

Kwamba tusiseme yetu ya moyoni? Kumbe twende "dare" sema wapi?

Kama ndivyo, zile kazi almaarufu za Lema na bodaboda, hazitakuwa hizo?
Mkuu mimi, Zawadini, siamini hata wanaoweka uzi humu. Hata brazaj. Tuende kivyetu tu.
 
Ukiona mtu anakuja na mada nzuri nzuri zenye kuvuta attention halafu mwisho anasema kama uko interested njoo PM, kuwa makini. Huko PM atalazimisha mbadilishane mawasiliano na mwisho wa siku muonane. Kuwa makini. Huko PM anatamani zaidi kujua exact location. Kuwa makini. Huko PM anakupa ramani za maisha sehemu fulani ambayo wenyeji ni choka mbaya (hasa kilimo). Kuwa makini zaidi
Ukiwa ni raia mwema kuwa makini tu usitapeliwe ila hayo mengine tuwaache watu wafanye kazi zao wala tusiogope. Kwani ni tangu lini raia wanaogopa watu kuzuia uhalifu?
 
Ukiona mtu anakuja na mada nzuri nzuri zenye kuvuta attention halafu mwisho anasema kama uko interested njoo PM, kuwa makini. Huko PM atalazimisha mbadilishane mawasiliano na mwisho wa siku muonane. Kuwa makini. Huko PM anatamani zaidi kujua exact location. Kuwa makini. Huko PM anakupa ramani za maisha sehemu fulani ambayo wenyeji ni choka mbaya (hasa kilimo). Kuwa makini zaidi
Muhimu ni kuwa makini sana mkuu
 
Inasikitisha sana

Nitafika mahakama kuu kuwaona maana wao hawatakuwa kwenye shuka:

GyobEXhXIAAlsnA.jpeg
 
Kuwatambua sio rahisi,
Hata wewe inawezekana ukawa ni mmoja wao pia,wapo ambao hujifanya nao wanapinga kila kitu pia,

Don't trust anyone kama hujanyooka.

Kwamba hata wewe unaweza kuwa mmoja wao haiwezi kuwa na swali. Ila kama manabii wa uongo, misahafu inasema mtawajua kwa matunda yao!

Wengine wakasema penzi kikohozi!

Tangu lini mwembe ukazaa papai?

Ndiyo maana tutakuwapo mahakama kuu kuwajua japo Kwa macho. Si hawatakuwa kwenye shuka? Au?
 
Back
Top Bottom