Makala Jr
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,395
- 1,110
Huyo jamaa pamoja huyo mwenyekiti magamba ngazi ya kijiji inabidi wawajibike kwa kesi ya mauaji bila kupoteza muda.Huo ndo uwe mwendelezo wa magamba waliowajeruhi wabunge wa chadema mwanza,waliomvamia mbunge wetu Msigwa na magamba wengine wote wanaopingana na nguvu ya umma na kufanya vurugu kwa maslahi yao binafsi.ANGALIZO,Ni vema wafuasi wa vyama vyote vya siasa nchini tukawa na uvumilivu wa kisiasa haswa pale tunaposhindwa ktk mazingira ya haki.