Hatimae Sabodo achangia harusi.

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Sabodo achangia harusi ya Mh Rais wa Tz 2015,
fedha halali za kitanzania
shilingi milioni 60. Mambo
yameanza pamba moto.
Source mtu wa karibu na Mh.
 
kama hili jambo ni la kweli basi mzee Sabodo anazidi kuonyesha anamkubali sana Dk.Slaa
 
Ngoja tuone uzalendo wa huyu mzee 60m slaa piga pande hizo pesa peleka kwengine
 
naomba kuuliza wanagreat thinkers, hii HARUS ya DR itafungwa au pingamizi lililowekwa na Rose litakuwa limeikwamisha?
 
Sabodo achangia harusi ya Mh Rais wa Tz 2015,
fedha halali za kitanzania
shilingi milioni 60. Mambo
yameanza pamba moto.
Source mtu wa karibu na Mh.

Kumbe uchaguzi wa 2015 ni tayari eeeeh basi tunamtakia harusi njema dr na mchumba wake josephine na rose kamili sukum naye aalikwe.
 
ndoa ya rais wa tano wa jamhuri kaka. Wewe unataka iwe ya kimanzese. Tunakula heinkein tu. Tbl hawez supply kitu, tunaagiza kwa mzee mabibo.

Muambie huyo maana hta hvy visima Sabodo anaendelea kuchimba mpk dakika hii........ cjui kinacho mkuna huyo jamaa ni nn wkt ni harusi ya rais mtarajiwa........
 
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
nchemba kwa kutukana wabunge wa chadema alitunzwa ngapi ili hali hapo dodoma shule hazina madawati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…