Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,992
- 774
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Mmefika mbali sasa mpaka mnampangia matumizi ya hela zake! Acheni hizoooo!
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Tumeanza kuendekeza Umaskini hata kwenye mambo ya kijamii??..Umaskini hautaondoka kwa stahili hii ndugu yangu..mwache Dr Slaa afurahie ndoa yake bwana tusianze kumuwekea masharti kibao.
Hivi JK akialikwa si atakwenda...na kwa bahati nzuri kwa sherehe na kiduku mkuu hajambo!
View attachment 59058
Hii habari ni ya kupikwa haiweze kani harusi itakayo fanyika Karatu ikagarimu kiasi kikubwa namna hii... Kwa jinsi navyo mfahamu mzee Sabodo hawezi fanya kitu kama hicho...
Na kama ni kweli ilijambo litanishangaza sana kwani huko ukutakuwa ni matumizi mabaya ya fedha ambapo Slaa mara zote amekuwa akipinga serikali kuwa na matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi wa nchi hii
Itakuwa ajabu sana kama harusi ya Dr.Slaa itagarimu zaidi ya 15 million
na nitatoa laki tano hapo itakuwa 60,500,000.00
NAUNGA MKONO HOJA. Siyo tu WAIRAQ hata mahali pengine pa nchi.Dr. Saita...
Wairaqw tuna huruma. Pongezi nyingi kwa hatua kubwa za kufunga Ndoa. Tunasikia michango mingi kwa ajili ya harusi yako na michango mingine mingi itakuja. Itakuwa busara ukitumia sehemu kubwa ya fedha hizo kusaidia kwenye elimu au watoto yatima kuliko kuziteketeza kwa siku moja kwenye harusi. Kila mtu angependa kuhudhulia hiyo harusi, nafikiri ukilipia kituo cha television kimoja ikaonyesha live tukio hilo itasaidia sana then wewe na watu wa karibu wachache mkakusanyika mahali kusheherekea.
Huwa maombi kama haya unayatoa kwa wote wanao funga harusi au umeamua kuanza kuleta badiliko la kiakili kwa Dr wetu. Muacheni Dr afurahie sherehe yake na mpendwa wake. Sherehe ya kwenye runinga utaiona akipigiwa mizinga 21.
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Mkuu kwani Sabodo ni serikali? Kawaulize serikali ya CCM kwanini hatuna visima vya maji.
Mbona harusi ya Rizwan zilitumika sh million 350?
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
ha! Kwani baba yenu yule msitake kumbebesha mzigo usiomhusu.hilo swali muulize kikwete na mawaziri wakeShillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Siku hiyo dress cord ni Magwanda ya Khaki tu..
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?[/QUOTE
.
Ebo!
Kwani yeye anatoza watu kodi?! pesa ya jasho lake...anaitumia apendavyo...
Mwambie basi CAG akamkague.
.