Hatimae Polepole ajibiwa na wana Arusha, kula chuma hichoo

Hatimae Polepole ajibiwa na wana Arusha, kula chuma hichoo

nimechunguza sura zote kwa makini sijaonapo ambae sio mlevi wa matapu tapu hao wamepewa buku mbili mbili
Si Unamuona mkwe wake anaongoza maandamamo!
Kura zimeishaibiwa hao wanaokwenda kupiga kura ni mazuzu yatakayopoteza muda wao!
 
Arusha miaka kadhaa nyuma ilikua ngome ya chadema Leo hii ni ccm damudamu

Fullstop, kwishaaaa

View attachment 3450416
Wana Arusha hao - hakuna jamii ya kijinga na inayodanganyika kirahisi kama hii. Usikute wamehaidiwa bangi tu au kupiga punyeto hadharani bila kukamatwa na polisi na kübadili gia angani. Hii jamii, basi tu.
 
Wana Arusha hao - hakuna jamii ya kijinga na inayodanganyika kirahisi kama hii. Usikute wamehaidiwa bangi tu au kupiga punyeto hadharani bila kukamatwa na polisi na kübadili gia angani. Hii jamii, basi tu.
Wana Arusha wenye akili huwezi kuwakuta hapo!
 
Mkuu project nyomi lote hilooo, hapo ukipeleka mambo ya chadema UNAWEZA dedishwa kabisa, maskini lisu akiona hii ataliaa kabisa anao wapigania washa ridhika na maisha


Fullstop,kwishaa
Project mbona ipo wazi tunaonaga wanavyokusanywa
 
Umati mkubwa uliojitokeza kwenye jogging waja na maandishi yasomeka hivi "mwambieni polepole mama Samia tunae sana


Fullstop, kwishaaa
Hayo ni mawazo ya wanaoongoza jogging tu, wale walioko nyuma hawajui kinachoendelea.
Watanzania muwe mnafikiri kwa kina.
Japo rais Samia nampenda sana, lakini utekaji na mauaji ya raia vimenichukiza sana.
 
Nchi hii ina watu wengi wa hovyo sana na wasiojari mustakabali wa kesho yao na watoto wao

Anayoyaongea Polepole hayapaswi kupuuzwa
 
Back
Top Bottom